january

January is the first month of the year in the Julian and Gregorian calendars and the first of seven months to have a length of 31 days. The first day of the month is known as New Year's Day. It is, on average, the coldest month of the year within most of the Northern Hemisphere (where it is the second month of winter) and the warmest month of the year within most of the Southern Hemisphere (where it is the second month of summer). In the Southern hemisphere, January is the seasonal equivalent of July in the Northern hemisphere and vice versa.
Ancient Roman observances during this month include Cervula and Juvenalia, celebrated January 1, as well as one of three Agonalia, celebrated January 9, and Carmentalia, celebrated January 11. These dates do not correspond to the modern Gregorian calendar.

View More On Wikipedia.org
  1. Ikaria

    Kwa nini Wakenya wameanza kumpigia debe January Makamba kuwa Mwenyekiti wa Tume ya AU

    Raia wengi wa Kenya katika mitandao ya kijamii hasa ule wa X wameonekana 'kumgeuka' mgombea wao wa nyumbani Raila Odinga na badala yake sasa wanamuunga mkono January Makamba kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika(AU). Katika taarifa inayosambaa mitandaoni, Wakenya wanadai kuwa wamuzi wao...
  2. Tlaatlaah

    January Makamba amefiti vizuri Wizara ya Mambo ya Nje. Heshima na ushawishi wa Tanzania duniani ni ya kiwango cha juu sana

    Wizara imetulia, mambo yanafanyika vizuri kwa maneno na matendo. diaspora na wafanya biashara kimataifa kwa ujumla wao, wanakubali kazi na jitihada za wizara kupitia Waziri huyu kijana na mbunge wa Jimbo la bumbuli mh.January Makamba.. Mchango wa Tanzania kwenye forums mbalimbali duniani...
  3. F

    Mheshimiwa January Makamba ni kiongozi mbunifu mno mweye kuiona fursa adhimu

    Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama. Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi. Sasa akiwa waziri wa nje...
  4. A

    KERO Barabara ya Tambani Mkuranga haipitiki tangu January 2024

    Hali ilivyo barabara ya Tambani Mkuranga inayopita Mbande (Temeke) kwenda Kitonga(Ilala) tangu mwezi wa 1 haina marekebisho wala haipitiki na imekatika kabisa. TARURA Mkuranga na Mkurugenzi wa Mkuranga mmekaa kimya.
  5. Aramun

    Kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January hakiwezi kutuletea maendeleo yoyote, kizazi cha akina Makonda, Hapi ndicho kina kitu ndani yao

    Uzi huu nauandika nikiwa nimebanwa nkaa kwenye mwendokasi. Na nimepanda mwendokasi kwa sababu sina jinsi maana route ya daladala iliuawa kutokea town centre kuelekea Ubungo hadi Kimara. Hivyo ndivyo maono yangu yanavyonituma. Kwamba hiki kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January, kamwe hakitakaa...
  6. G

    Ushauri: January Makamba apewe nafasi ya uenezi wa CCM

    This man is intelligent, smart and eloquent. Once mama appoints him to fill this post, she will rest a bit and see things moving.
  7. chiembe

    Nape na January, sasa ndio nini kwenda kuchekea nyuma ya nyumba? Andaeni ziara za Arusha, atawapokea, atake asitake

    Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics. Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
  8. mdukuzi

    January Makamba ni bora kuliko Yusuf Makamba, Rizwan Kikwete ni dhaifu kwa Jakaya Kikwete

    Baba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha. UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk. Njoo kwa Rizwan ambaye...
  9. B

    January Makamba katika ziara ya inayogusa sekta kadhaa nyeti nchini Rwanda

    11 March 2024 Kigali, Rwanda Waziri January Makamba na ujumbe wake kutoka sekta za wizara za Uchukuzi, Biashara na Viwanda, TEHAMA, Kilimo, Nishati na maofisa pia wa mashirika ya umma. Ziara ya rais Dr. Samia Hassan mwezi agosti 2021 nchini Rwanda imesaidia nchi hizi mbili jirani kufahamiana...
  10. thetallest

    Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu? Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo. Hayati Magufuli kwa...
  11. Mr Dudumizi

    January Makamba anatakiwa aitwe na kuhojiwa na chama chake kuhusiani na kauli zake zinazohusu uchaguzi wa 2020

    Habari zenu wanaJF wenzangu, Huyu mtu baada ya kushindwa kuiongoza wizara aliyopewa bure kutokana umaarufu wa baba yake huko chamani, na pia kushindwa kuisimamia vyema wizara ya mambo ya nje aliyohamishiwa, sasa kaamua kuja na mkakati wa kumchafua hayati Magufuli kwa lengo la kutrend katika...
  12. N

    I would like to contact January Makamba

    Hello wadau, I am currently residing abroad and find myself in need of assistance regarding an issue that falls under the the Minister of Foreign Affairs, January Makamba. Therefore, I am kindly requesting any information or contacts that could lead me to reach out to him. Your help would be...
  13. Nsanzagee

    January Makamba aliamua kulidanganya Taifa wakati akiwa waziri wa Nishati? Alikusudia nini?

    Mh. January Makamba wakati anapewa wizara ya Nishati alitoka na swaga nyingi huku akituaminisha kwamba, amekuja na dawa ambayo mtangulizi wake Kalemani aliyekuwa waziri wa wizara hiyo kudai kwamba, alielekea kuharibu kabisa mitambo yote ya uzalishaji umeme Yeye akadiriki kusema, kwa namna...
  14. Jamii Opportunities

    Tender Procurement of Samsung Galaxy A54 5G at Good Neighbors January, 2024

    INVITATION FOR BID (IFB) Bid No. GNTZ/HO/002/2024 FOR PROCUREMENT OF SAMSUNG GALAXY A54 5G FOR SPONSORSHIP PROGRAMME, DATA MANAGEMENT AT GOOD NEIGHBORS TANZANIA. Good Neighbors has set aside funds during the financial year 2024. It is intended that part of the proceeds of the fund will be...
  15. G

    Heri ya mwezi mpya Februari, mwezi wa wapendanao, mwezi mfupi zaidi, mwezi mpya baada ya utitiri wa bili za Januari

    February itakuwa nzuri kuliko January, Niwatakie mwezi mpya 🎉
  16. Jamii Opportunities

    PhD Student at Ifakara Health Institute January, 2024

    Position: PhD Student (1 post) Reports to: Project Leader Work station: Bagamoyo Apply by: February 15th 2024 Duties and Responsibilities She/he will also be responsible for supporting the MSc student working under the same umbrella. Supporting, managing, and overseeing the epidemiological and...
  17. Jamii Opportunities

    Security Officer (Technician, Procurement And Logistics) at IRMCT January, 2024

    Job Opening ID: 226753 Job Network: Internal Security and Safety Job Family: Security Category and Level: Field Service, FS-4 Duty Station: ARUSHA Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals Date Posted: Jan 29, 2024 Deadline: Feb 27, 2024 Responsibilities...
  18. Jamii Opportunities

    Sales Manager – Explorer at Elewana Afrika (T) Ltd January, 2024

    Role: Sales Manager – Explorer Department: Central Sales & Reservations Office (CSRO) Reporting to: Business Development Manager – Regional DMC’s & Agents (BDM) Key Responsibilities: Sales Strategy Development & Delivery: Expand the reach of Explorer Brand and ensure there is a solid and deep...
  19. Jamii Opportunities

    Housekeeper at Chem Chem Philanthropy and Safari January, 2024

    Position: Housekeeper Reports To: HOD Housekeeping Camp : CCL/LCC/FCC Location: Manyara, vilima vitatu, Babati Duties and responsibilities Provide basic housekeeping duties including changing the sheets, changing and arranging the towels, restocking toilet supplies, vacuuming, dusting and...
Back
Top Bottom