A jay is a member of a number of species of medium-sized, usually colorful and noisy, passerine birds in the crow family, Corvidae. The evolutionary relationships between the jays and the magpies are rather complex. For example, the Eurasian magpie seems more closely related to the Eurasian jay than to the East Asian blue and green magpies, whereas the blue jay is not closely related to either. The Eurasian jay distributes oak acorns, contributing to the growth of oak woodlands over time.
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Haule maarufu Prof Jay amesema Rais Samia alikuwa kama Mama yake wakati akimshukuru kwa jitihada zake za kumtibia.
Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01
*********
Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii haifanani na zile alfajiri za mwezi Julai. Julai, mwezi ule kila mtu analalamika kuwa baridi kawa baridi...
Habari wana JF;
Leo nikasema ngoja nisikilize kidogo nyimbo za zamani kuanzia 2010 kurudi nyuma, nikaingia mtandaoni kuzipakua hasa zile nilizokuwa nazipenda...
Sikuacha za Professor Jay, nikachukua kadhaa zikiwemo NDIO MZEE, KIKAO CHA DHARURA na NANG'ATUKA...
Asee jamaa yale aloyaimba mule ndio...
The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥
Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat Sirnature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na...
PROFESSOR JAY FT. ADILI CHAPA KAZI , COMPLEX, AY & BLACK RHINO - NAWAKILISHA ( STUDIO BONGO RECORD)
Chorus ( Professor Jay)
Nawakilisha...!!!
Ofisini na masela ndani ya gheto
Nawakilisha ...!!!
Kwa ma ding vijana mpaka watoto
Nawakilisha...!!!
Kenya , Uganda 🇺🇬 na Tanzania 🇹🇿
Huu ni hosia...
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.
Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter...
PROFESSOR JAY -MACHOZI,JASHO NA DAMU
VERSE..1
Nashukuru Macho yangu mawili hayana upofu/ na mdomo upo wazi kukemea mambo maovu/ siku inapofika naona Heri ya jana/ maisha ya wabongo yanakuwa kama ya wanyama/ hiki ninachosema kila jicho linaona/ nina futa chozi la mnyonge kilio cha kila kona/...
PROFESSOR JAY FT BANANA ZORO - NISAMEHE..
VERSE 1. ( PROFESOR JAY)
"Usiniache mupweke utafanya watu wanicheke/ ni wewe pekee uliyefanya mi ni deke/ kuvunja mpenzi letu utafanya mi niteseke/ nisieleweke mwenzio mi nizeeke/ ni upumbavu wangu uliofanya penzi limegeke/ na hila za vicheche...
MWANA FA ( SONG - NAZEEKA )
Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane wadogo zangu/ nipo juu kwa sababu siogopi kuruka/ siogopi kuanguka/ siogopi vidonda wala hakuna...
Kwanza nna declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Professor Jay na kwenye list yangu ya MCs bora wa muda wote nimemuweka nafasi ya pili.
Napenda sana muziki wake hata siasa zake nilikuwa nazipenda.
Ila kuna kitu nakiona hakipo sawa baada ya yeye kurudi kwenye ugonjwa uliomuweka kitandani...
NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY
Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/
Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na hata shule za msingi./
Yooh .!! Mam sapu nipoze moyo mama/ baadhi ya wanafiki naona sasa...
PROFESOR JAY - HAKUNA NOMA
Nimesimama kwenye haki/ kurumbana sitaki/ bado nipo na fani kama Saturn na Zebaki/ sitaki kujiuliza.. yupi..? ndugu yupi ..? adui/ sijui..!! Pata nasaha za ma bedui / ulipo lala wewe ndipo nime amka mimi/ ubongo wangu madini changanya umjini mjini/ kabla...
PROFESOR JAY - NA BADO
Na mwaga Damu juu ya fedha/ na dini mitaa ya kati/ kuwa makini Tumuamini nani..?/ mie mc fanani mchaza vichwa Amani/ Au kiongozi Saratani / acha hanasa na mpaka Siasa hakuna Tundu kwenye Sanaa/ hii balaa jiangalie saa ukutani/ tufanye kweli kwenye fani/ kuwa mapaga nani...
PROFESOR JAY - NAWAKILISHA..
Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda...
P Diddy Amezidiwa Utajiri Na Jay Z Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Wawe Matajiri Lazima Waende Kwake, Lakini Pia P Diddy Amezidiwa Tuzo Za Grammy Na Jay Z 24 Kwa 3 Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Washinde Grammy Lazima Waende Kwa P Diddy 😂😂😂😂 Au Ndio Mganga Hajigangi 😂😂😂
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ya Wachezaji wa ndani imepoteza mchezo wa kuwania kufuzu CHAN 2025 kwa changamoto ya mikwaju ya penati 5-6 dhidi ya Sudan.
Tanzania licha ya kufunga goli 1-0 lililofungwa na Crispin Ngushi dakika ya 33 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kutokana na kupoteza...
LADY JAY DEE NDANI YA BONGO FLEVA HONOURS USIKU HUU...
Kuanzia ‘siku hazigandi’ hadi ‘ndindindi’, kupita kwenye ‘wangu’ hadi ‘mambo matano’ hizo ni baadhi tu ya nyimbo kutoka kwenye collection ya Malkia wa Bongofleva, Dada mwenye ukuu wake kwenye dunia ya Bongofleva Lady JayDee ambaye leo...