A jay is a member of a number of species of medium-sized, usually colorful and noisy, passerine birds in the crow family, Corvidae. The evolutionary relationships between the jays and the magpies are rather complex. For example, the Eurasian magpie seems more closely related to the Eurasian jay than to the East Asian blue and green magpies, whereas the blue jay is not closely related to either. The Eurasian jay distributes oak acorns, contributing to the growth of oak woodlands over time.
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.
Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.
Tofautisha kati ya...
Namuona sana kijana mmoja mtandaon anaitwa jay Combat.
Anajua kuimba nyimbo za uswazi almaaurufu mnanda au mchiriku au vanga.
Kiukweli toka atutoke duniani Juma Mpogo GOAT wa mnanda bado pengo lake alijawai kuzibwa.
Walikuwa wengi kabla ya General Mpogo na wakaja wengi baada yake ila bado...
Wakuu msaada mwenye ngoma ya jay moe Hili.game remix tafadhali.naiomba hapa. Mara nyingi nayoipata haipo fresh ipo sauti ya chini sana alafu biti haikimbizi vzr.
Msaada jamani nayoipata ni hiyo chini hapo
Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia Yeye Na Alikiba Mwezi Huu....
UKWAJU WA KITAMBO
0767542202
PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records..
Verse .. 1.
Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo zimengeuka biashara/ unapata neno la Mungu baadae tiba mbadala/ unafanya usichopenda Wana hubiri...
ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU
https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl
"Machozi Jasho na Damu..
ni jina la kutaja albamu ya kwanza kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya wa Kitanzania...
Nilikuwa kwenye daladala jioni moja kutoka kwenye pirika zangu mara ndani ya gari Kuna wimbo ukawa unapigwa nakumbuka kiitikio tu " Wivu mama" ulinivutia sana ule wimbo hasa sauti ya mwimbaji na mashairi yake na ukizingatia ulikuwa ni wimbo wa singeli ikabidi niingie YouTube kutafuta ni msanii...
Mnamkumbuka msanii wa Bongofleva Q Jay kutokea kundi la Wakali Kwanza? Siku hizi ameokoka na kumrudia Mungu. Inasemekana kipindi cha nyuma alipitia wakati mgumu wa uraibu wa pombe na madawa. Hivyo hii ni habari njema sana!!
Mungu ni mwema kila wakati!!
Chorus:
Hili joto hasira, ambaa Upepo hakuna Ambaa, naruka mwenyewe Yelela, yelela, ambaa. Foleni njia nzima, ambaa Na pesa hakuna Ambaa, naruka mwenyewe Yelela, yelela, ambaa
VERSE 1:
siku nimenuna Kwanini tunagombana Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa Na sioni hata maana Ya si...
Ngoma za wasanii hawa wawili zinapishana katika playlist yangu muda huu, nashindwa kuamua nani ni mkali kwani ngoma zote ni za moto.
Mdau wa muziki wa kizazi kipya, kwa sikio na jicho lako, yupi ni mkali wa maandishi, melody, sauti na performance ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.