jembe

A djembe or jembe ( JEM-bay; from Malinke jembe [dʲẽbe], N'Ko: ߖߋ߲߰ߓߋ‎) is a rope-tuned skin-covered goblet drum played with bare hands, originally from West Africa.
According to the Bambara people in Mali, the name of the djembe comes from the saying "Anke djé, anke bé" which translates to "everyone gather together in peace" and defines the drum's purpose. In the Bambara language, "djé" is the verb for "gather" and "bé" translates as "peace."The djembe has a body (or shell) carved of hardwood and a drumhead made of untreated (not limed) rawhide, most commonly made from goatskin. Excluding rings, djembes have an exterior diameter of 30–38 cm (12–15 in) and a height of 58–63 cm (23–25 in). The majority have a diameter in the 13 to 14 inch range. The weight of a djembe ranges from 5 kg to 13 kg (11–29 lb) and depends on size and shell material. A medium-size djembe carved from one of the traditional woods (including skin, rings, and rope) weighs around 9 kg (20 lb).
The djembe can produce a wide variety of sounds, making it an extremely versatile drum. The drum is very loud, allowing it to be heard clearly as a solo instrument over a large percussion ensemble. The Malinké people say that a skilled drummer is one who "can make the djembe talk", meaning that the player can tell an emotional story (the Malinké never used the djembe as a signaling drum).
Traditionally, the djembe is played only by men, as are the dunun that always accompany the djembe. Conversely, other percussion instruments that are commonly played as part of an ensemble, such as the shekere (a hollowed-out gourd covered with a net of beads), karignan (a tubular bell), and kese kese (a woven basket rattle), are usually played by women. Even today, it is rare to see women play djembe or dunun in West Africa, and African women express astonishment when they do see a female djembe player.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Inatosha ndugu yangu; Mshukuru Mungu kwa yote, rudisha vitabu kwa Mkuu wa shule, chukua jembe itafute njia ya Nanjilinji ukajilimie ufuta!

    Ulitoka makao makuu yetu ya wilaya kwenda huko mbali kisiwani kwa ajili ya kujitolea na umekuwa ukijitolea kuwasaidia watoto hawa eneo hili la kisiwa lenye changamoto ya elimu na linaloogopwa na kukimbiwa na watu kila siku kwa juhudi zote tangu 2018.... Ajira za 2018 zikatoka nawe...
  2. Salehe Jembe: Viongozi Yanga wanaumia Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR

    Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika. Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya… @ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba @VAR...
  3. DC Arusha ambaye aliwahi kutoa 'Singo' ya kumsifia Magufuli kuwa ni jembe adai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi

    Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi. Anadai kuwa katika awamu hiyo Serikali ilikuwa haiweki...
  4. F

    Kiingilio cha Gezaulole kilivyobadilika kutoka Jembe / Panga na kuwa PESA.

    Wakuu, Jana nilipata fursa kuitumia siku ya kumbukizi ya maisha ya Mwalimu kuzunguka zunguka vitongoji vya hapa Dar na mimi, nikapita mitaa ya Gezaulole - kigamboni aisee ni balaa - Mji umejengeka swafi, majumba makali makali nikawaza sana moyoni mwangu kwamba huku si ndiko watu walikuwa...
  5. SoC01 Mkulima wa Jembe la Mkono Tanzania

    TEGEMEO LA MKULIMA WA JEMBE LA MKONO Ni zama hizi hizi za karne ya 21 ambayo bado mkulima anatumia jembe la mkono katika kipande cha ardhi alichobakisha baada ya unyanganyi wa mabavu wa wawekezaji wakipewa nguvu na viongozi hawahawa tulio waamini na kuyaamini maneno yao, Tuachane na hayo maana...
  6. Jembe kiboko lilimaliza CHADEMA likifundisha watoto wa wapiga kura Tarime

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Mbunge wa Tarime Mwita Waitara akifundisha somo la Hisabati katika Shule ya Sekondari Nyamwigura Tarime hivi karibuni. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari https://t.co/kjYGNCmYC7
  7. Paul Makonda, jembe liliosahaulika pamoja na kuinyoosha Dar. Lilimpigia chapuo Samia Suluhu kupata Umakamu wa Rais

    Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto. Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma. Cha ajabu amesahaulika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…