Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.
----+
Akizungumza katikati ya mjadala wa...
Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Ulimwengu na Ndugai
MWANDISHI wa Habari Mkongwe, Jenerali Ulimwengu leo Septemba 21,2021 amezindua Kitabu chake RAI YA JENERALI jijini Mwanza na kuhudhuriwa na Askofu Benson Bagonza.
𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗬𝗔𝗪𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗭𝗨𝗡𝗚𝗨𝗠𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗛𝗨𝗢....
"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8...
Mwandishi wa habari mbobezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.
Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao...
Mbowe’s terrorism charges turn focus on similar neglected cases
SATURDAY JULY 31 2021
Freeman Mbowe, chairman of the main opposition party in Tanzania. PHOTO | FILE | NMG
Summary
Variably, acts of terrorism have been described as any action that seeks to employ violence
Speculation is bound...
Ni katika kuadhimisha miaka 20 ya shirika la Haki Elimu.
Ameshauri watumishi wa serikali waachane na kasumba ya kuamini kwamba kuwa kwao katika utumishi serikalini basi ni wao tu wenye akili kuliko wananchi wa kawaida.
Martha Qoro (PhD) ameshauri juu ya kuongeza wigo wa kujifunza lugha...
Whatever the sangomas in our midst would have us believe, I think that there was a lot of infection around John Magufuli’s work environment, in which wearing a face mask was not tolerated and crowding was a way of life. PHOTO | FILE | NMG
By JENERALI ULIMWENGU
THURSDAY JUNE 03 2021
The...
ALL PATRIOTS SHOULD SUPPORT PRESIDENT SAMIA
By: Jenerali Ulimwengu
Back in the mid-1990s a group of us who served in parliament got into the habit of meeting old man Julius Nyerere at his Msasani home in Dar es Salaam for a chitchat.
The meetings were relaxed, cordial and full of bonhomie...
Siku zinakimbia mno ila maisha yanaendelea.
Pichani Jenerali Kayumba alipokuwa hai na Mkewe Rosete pamoja na Kijana wao wa Kiume.
Luteni Jenerali Kayumba yupo hai akiishi Afrika Kusini baada ya kukosana na Kagame.
Amenusurika majaribio kadhaa ya kuuliwa ikiwemo tukio la kupigwa risasi ya...
Makala murua kabisa ya kaka mkubwa Jenerali Ulimwengu gazeti la The East African:
Soma hapa chini kama unaelewa kiingereza - ila kama ni akina Msukuma wanaosema Reli ya "Stieglers Gorge" unastahili pole:
Nukuu tu kidogo:
"I suspect that the people who shot this man in September 2017 are the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.