jenerali ulimwengu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

    Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje. ----+ Akizungumza katikati ya mjadala wa...
  2. Uzee dawa: Msikilize Jenerali Ulimwengu

    Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi. Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako. Ulimwengu na Ndugai
  3. B

    Jenerali Ulimwengu: Tunapoelekea tunazidi kupotea, baada ya kushindwa kazi yake anavamia ya mwenzake

    22 September 2021 Jenerali Ulimwengu: Tunapoelekea tunazidi kupotea, baada ya kushindwa kazi yake anavamia ya mwenzake
  4. Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

    MWANDISHI wa Habari Mkongwe, Jenerali Ulimwengu leo Septemba 21,2021 amezindua Kitabu chake RAI YA JENERALI jijini Mwanza na kuhudhuriwa na Askofu Benson Bagonza. 𝗛𝗔𝗬𝗔 π—‘π—œ π—•π—”π—”π——π—›π—œ 𝗬𝗔 π— π—”π—‘π—˜π—‘π—’ 𝗬𝗔π—ͺπ—”π—Ÿπ—œπ—¬π—’π—­π—¨π—‘π—šπ—¨π— π—­π—” π—ͺπ—”π—žπ—”π—§π—œ π—ͺ𝗔 π—¨π—­π—œπ—‘π——π—¨π—­π—œ 𝗛𝗨𝗒.... "Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8...
  5. J

    Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

    Mwandishi wa habari mbobezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu. Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao...
  6. Jenerali Ulimwengu katuandikia kitabu- Rai ya Jenerali

    Judge Joseph Sinde Warioba at the launch of the RAI YA JENERALI book on 06. 08. 2021.
  7. Mbowe’s terrorism charges turn focus on similar neglected cases

    Mbowe’s terrorism charges turn focus on similar neglected cases SATURDAY JULY 31 2021 Freeman Mbowe, chairman of the main opposition party in Tanzania. PHOTO | FILE | NMG Summary Variably, acts of terrorism have been described as any action that seeks to employ violence Speculation is bound...
  8. I

    Jenerali Ulimwengu: Kuwa Mtumishi wa Serikali Hakumaanishi Una Akili Kuliko Wananchi

    Ni katika kuadhimisha miaka 20 ya shirika la Haki Elimu. Ameshauri watumishi wa serikali waachane na kasumba ya kuamini kwamba kuwa kwao katika utumishi serikalini basi ni wao tu wenye akili kuliko wananchi wa kawaida. Martha Qoro (PhD) ameshauri juu ya kuongeza wigo wa kujifunza lugha...
  9. Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

    Whatever the sangomas in our midst would have us believe, I think that there was a lot of infection around John Magufuli’s work environment, in which wearing a face mask was not tolerated and crowding was a way of life. PHOTO | FILE | NMG By JENERALI ULIMWENGU THURSDAY JUNE 03 2021 The...
  10. Jenerali Ulimwengu: Wazalendo wote wanatakiwa kumuunga mkono Rais Samia

    ALL PATRIOTS SHOULD SUPPORT PRESIDENT SAMIA By: Jenerali Ulimwengu Back in the mid-1990s a group of us who served in parliament got into the habit of meeting old man Julius Nyerere at his Msasani home in Dar es Salaam for a chitchat. The meetings were relaxed, cordial and full of bonhomie...
  11. U

    Picha: Jenerali Kayumba Nyamwasa alipokuwa na Familia yake

    Siku zinakimbia mno ila maisha yanaendelea. Pichani Jenerali Kayumba alipokuwa hai na Mkewe Rosete pamoja na Kijana wao wa Kiume. Luteni Jenerali Kayumba yupo hai akiishi Afrika Kusini baada ya kukosana na Kagame. Amenusurika majaribio kadhaa ya kuuliwa ikiwemo tukio la kupigwa risasi ya...
  12. Jenerali Ulimwengu: It takes More Than a Gun to Kill a Man

    Makala murua kabisa ya kaka mkubwa Jenerali Ulimwengu gazeti la The East African: Soma hapa chini kama unaelewa kiingereza - ila kama ni akina Msukuma wanaosema Reli ya "Stieglers Gorge" unastahili pole: Nukuu tu kidogo: "I suspect that the people who shot this man in September 2017 are the...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…