Jeshi la Israel limeingia Ukingo wa Magharibi (West Bank) kuanza operesheni kubwa kwenye miji inayoshikiliwa na Kundi la Palestine Islamic Jihad.
operesheni hiyo imeweza kubaini msikiti wenye maabara ya mabomu ndani yake.
imekuwa ni kawaida kwa vikundi hivi kuwatumia raia kama ngao kwa...
bank
gaza
hamas
israeljeshijeshilaisrael
jihad
kituo
kiwanda
kuanza
kubwa
kundi
kuwasaka
maabara
mabomu
magaidi
magharibi
maisha
makazi
makazi ya watu
msikiti
ndani
operesheni
palestina
raia
vita
Wanaukumbi.
Kama kawaida ya Jeshi la Israel kwa kujisifia ujingq.
⚡️🇮🇱 NDANI TU: Norit Yohanan - Kan Kiebrania:
Taarifa za Wapalestina zinasema kuwa jeshi la Israel halikumkomboa Farhan Al-Qadi, bali aliachiliwa huru na Hamas na kutekwa kimakosa...
Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.
Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana
Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel limepuga marufuku marubani wake wote kusafiri nje ya nchi hiyo kama tahadhari ya maandalizi ya vita dhidi ya Iran, Hezbollah na washirika wao
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa kikosi cha Anga Meja Jenerali Tomer Bar,
Taarifa kamili hapo chini:
===
Amid...
Ya muhimu....
1. Israel lina Wanajeshi wenye Uzalendo usio wa mashaka na Taifa lao
2. Israel lina Jeshi lenye si tu bora Wanajeshi bali Wanajeshi waliosoma vyema na wana Akili sana Kichwani
3. Israel lina Jeshi ambalo Askari wake hawatiliwi Mashaka kama hawana Uraia kamili wa Israel
4. Israel...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa za muda mrefu uliopita ni kuwa Jeshi la Israel IDF limeanza kuitembezea kichapo Lebanon kujibu mapigo dhidi ya shambulizi la magaidi ya Hezbollah.
Taarifa kamili hapo chini. Mungu ibariki na kuilinda Israel dhidi ya magaidi yote Duniani
=================
IDF...
Ni wazi kuwa kitisho cha kupigana na Hizbullah ana kwa ana upande wa Israel wamekiona na wameamua waufyate tu.
Inavyoonekana Hizbullah hawajafikiria kwamba vita bado havijaanza rasmi na ndio maana wanarusha makombora ya katyusha mpaka 200 kwa siku ambayo yanapiga kambi za jeshi la Israel...
Wadau hamjamboni nyote?
Dada wa Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hamas ameuawa na shambulizi hatari lililofanywa na Jeshi la Israel kuamkia usiku huu
Taarifa kamili hapo chini
Mungu ibariki Israel
=====
Hamas confirms Haniyeh’s sister killed in overnight strike in Gaza
In a statement, the...
Israel’s army says it killed a Hamas weapons expert
The Israeli army claims it killed Muhammad Salah, who was allegedly involved in weapons development and production for Hamas, in an air attack overnight.
The army said on X that Salah also commanded several Hamas squads that produced weapons...
Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli.
Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji mapigano yaliyoheshimishwa kwa ujumla tangu kumalizika kwa vita vya siku tano mwezi Mei. Tawi la...
Wadau hamjamboni nyote?
Gaidi Mkuu na Kiongozi wa Hamas aendaye kwa jina la
AYMAN GHATMA ameuawa kwenye shambulizi la kombora kutokea kwenye ndege hatari za Jeshi la Israel.
Alihusika kusambaza silaha Kwa Hamas na magaidi wenzie waliopo Lebanon
Mungu ibariki Israel
Senior member of Hamas...
Msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, anaonekana kutilia shaka lengo kuu la vita vya Israel vya Gaza baada ya kupendekeza kuwa Hamas ni 'wazo' ambalo haliwezi 'kubomolewa.'
Chanzo: Al Jazeera
The IDF signaled its agreement, saying it was acting to achieve Israel's war goals "tirelessly"...
Breaking: Majenerali wakuu wa Jeshi la Israel wameidhinisha mpango ya vita vya kuishambulia vya Lebanon
Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha huko middle east. Mayahudi wamechoka na uchokozi wa magaidi wa Hezbollah na dasa wameamua kujibu mapigo
Majenerali wa ngazi za juu kabisa wa Jeshi la Israel...
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka wengine waliobaki.
Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force...
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.
Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote...
Taarifa za kivita zimeonesha kuwa wiki tatu za mapigano kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza ni moja ya mapambano makali vikosi vya Israel ilivyokutana navyo palipokuwa hapakutarajiwa hasa ikizingatiwa jeshi hilo lilikwishatangaza ushindi awali na kujiondoa eneo hilo mara zaidi ya moja...
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza.
Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya Jabalia ambayo imewapa shida kuishida tangu mwanzo wa vita.
Watu wengi walikufa kwenye mji huo na...
Wadau hamjamboni nyote?
Israel imemuua Kiongozi Mkuu wa kundi la kigaidi la Islamic Jihad Katika operesheni ya kijeshi huko Rafah
Kiongozi huyo mkubwa wa magaidi anaenda kwa jina la Islam Khamayseh alikuwa anasakwa na IDF Kwa muda mrefu kwa mauaji aliyofanya
Mungu ibariki Israel
IDF kills...
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja...
Mbinu za hali ya juu zinazotumiwa na wapiganaji wa Hamas kupambana na askari wa Israel wanaoelekea kuivamia Rafah,zimeelezwa na wachambuzi wa kuvita kuwa wapiganji hao bado wamejipanga kuendelea na mapigano na hawajakata tamaa ya kupata ushindi japo wamezingirwa na wanapambana na jeshi lenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.