Uchawa haulipi. Nisifa tu kwa wahuni.
Waheshimiwa Wanasiasa jifunzeni uwajibikaji kwa hawa waliowadogo:
1: Mbunge Waitara kutoka Tarime vijijini, Serikali'' ilipomjibu majibu mepesi kwa maswali magumu, uongo kwenye uhalisia alikataa mchana kweupe, hicho ndo tumewatuma mkafanye na sio kupigwa...