jijini arusha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. waziri2020

    James Ole Milya awa kivutio michuano ya wabunge inayoendelea jijini Arusha

    Mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara,James Ole Milya leo ameonekana kivutio katika michuano ya wabunge wa Afrika Mashariki inayorindima katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Ole Milya alionekana muda mwingi akiwa amevaa bendera ya Tanzania huku akiwa ameshika vuvuzela...
  2. MMASSY

    Watendaji mamlaka ya maji Arusha (AUWSA) ni kero

    Ninaitwa JEROME ERNEST MMASSY ni mkazi wa kata ya Olasiti jijini Arusha. Wakati Mh.Rais Magufuli akizindua mradi mkubwa wa maji jijini Arusha nililazimika kuacha kazi zangu zote za siku ile na kuungana naye katika hafla ile nikijua tumepata ukombozi ndani ya jiji la Arusha. Pamoja na kuwa...
  3. Francis12

    Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

    Sikilza kisa kinachofichua tuhuma za Mkurugenzi wa jiji la Arusha kahamia na mbunge wa viti maalum (CCM), Catherine Magige wakihusishwa na utekaji, kulisha sumu, kujeruhi na kisha kumvua vyeo, mratibu elimu Ngarenaro. Anaaza kusimulia.. Kwa majina naitwa Batuli Hamad Isaya, ni Mwalimu wa Shule...
Back
Top Bottom