Hu Jinsi (胡進思) (died April 28, 948) was a general of the Chinese Five Dynasties and Ten Kingdoms Period state Wuyue, becoming powerful during the reign of its third king Qian Hongzuo (King Zhongxian). After Qian Hongzuo's death, Hu had frequent conflicts with Qian Hongzuo's brother and successor Qian Hongzong (King Zhongxun). Fearing that Qian Hongzong would kill him, he deposed Qian Hongzong in a coup and replaced him with his brother Qian Hongchu (King Zhongyi, later known as Qian Chu).
1. Uza dawa za meno zenye fluoride, kuua jicho la maono.
2. Fanya sukari na junks food zipatikane kila mahali, wawe vibonge na wapumbavu
3. Wape burudani za bure na pombe ziwepo, kizazi cha ulevi hakina maamuzi
4. Wawekee video za ngono kila mahali, wakishiba wafikirie kujikojolesha
5...
1. Weka malengo unayoweza kufikia ndani ya muda mfupi
Badala ya kuorodhesha majukumu mengi, fikiria kuweka malengo madogo. Kuweka na kutimiza malengo haya kunaweza kukupa hali ya udhibiti na mafanikio, na kusaidia kuongeza motisha. Ukimaliza jambo dogo, elekeza macho yako kwenye jambo dogo...
Tumeshuhudia timu kubwa barani Afrika kama Al ahly, Wydad AC nk. zikiwatoza faini wachezaji wake na wengine kunyimwa mishahara pindi wanapofanya vibaya hususan katika michezo ambayo ilikuwa ndani ya uwezo wao. Mfano baada ya CR Belouizdad kupoteza kwa mabao 4 - 0 dhidi ya Yanga, wachezaji wote...
Ardhi ya urithi ni ardhi ambayo inamilikiwa na mtu kupitia kurithi kutoka kwa wazazi, ndugu, au jamaa kwa njia ya urithi wa kiasili au kisheria. Hii ina maana kwamba umiliki wa ardhi unapita kutoka kizazi kimoja hadi kingine bila kuhitaji ununuzi wa kibiashara.
Mara nyingi, ardhi ya urithi...
Ona pia
Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?
Si kosa CHADEMA kuingia katika uchaguzi mkuu 2025 na sera kwamba wakishinda uchaguzi watahakikisha Tanganyika wanapata serikali yao ndani ya muungano...
Jinsi Kuandaa Mkataba Wa Malipo Ya Awamu Ya Kiwanja (Land Installment Contract)
Maana Ya Land Installment Contract
Land installment contract (kwa Kiswahili, mkataba wa mauzo ya ardhi kwa awamu) ni aina ya mkataba ambapo mnunuzi wa ardhi anakubaliana kulipa bei ya ardhi kwa awamu kadhaa badala...
Jinsi Kutengeneza Kipato Endelevu Kwa Ukodishaji Wa Mashamba Kwa Wakulima Hapa Tanzania
Kutengeneza kipato endelevu kwa kuwakodishia mashamba kwa wakulima ni fursa nzuri ya biashara kwa wale wanaomiliki ardhi ya kutosha hapa Tanzania.
Katika mazingira ambapo kilimo ni sekta muhimu kwa uchumi...
Nimefika bank nikageuza gari na kupaki. Nikashuka na kwenda ATM Mlinzi akaniambia ni kosa kugeuza gari kabla ya kuingia Bank. Kwamba gari ikae mwelekeo wa bank, baada ya kupata huduma ndipo nigeuze gari. Sikuwa na muda wa kuhoji nilikuwa na haraka.
Naomba ufafanuzi mwenye kujua.
JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE WAKO AWE NA FURAHA!
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Watibeli tunajua kufurahisha Wake zetu. Na Wanawake wa kitibeli hujua kuwapa Raha Waume zào.
Ingawaje mapenzi Kwa wengi NI kipengele na wengi husema hayana mjanja lakini kwa Watibeli mambo kidôgo ni tofauti.
Kwetu...
Kutambua size ya tairi ya gari yako ni rahisi. Unaweza kupata habari hii kwenye ukuta wa tairi yako,
Maelezo haya yanaorodhesha ukubwa na vipimo vya tairi lako, pamoja na kuhakikisha inatii viwango vya usalama.
Kila sehemu ya nambari inasimamia nini:
Upana(width) - Upana wa tairi katika...
Tunafundishwa kua wavumilivu siku zote katika maisha yetu. Lakini kuna baadhi ya mambo ukivumilia unaonekana unawaapa watu picha namna ya kukuendesha.
Kwa ufupi sio kila jambo unatakiwa kuvumilia mengine unatakiwa kuchukua hatua ili kulinda heshima yako. Asanteni.
Watu wengi hawaelewi namna ya kuendesha Business Online
Kipengele muhimu usifanye kujaribisha
Zingatia sana
Jifunze mbinu za dominate sphere ulio ichagua
Bila kujifunza huwezi kufanya Kwa usahihi labda Messi na wengine kama yeye
Jifunze jinsi itakayo kusaidia kupangilia mawazo ya kufanya online...
Mataifa mengi sana yaliyo serious na maendeleo huwa walishawajengea watu wao wote kwamba ukiwa kwenye mataifa ya watu hakikisha kwa namna yoyote uwezavyo nufaisha taifa lako kwanza.
Nakumbuka nimewahi kufanya kazi na makampuni kutoka Africa kusini yaani walikuwa kila kitu kinachotumika kwenye...
Habari wana JF,
Mimi ni Mtanzania mwenye elimu ngazi ya Degree ya biashara katika uhasibu.
Natafuta kazi ya kuandaa Payroll na tax zake monthly kama Part time kwa gharama nafuu kabisa.
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 8 kwenye sector binafsi..
Napatikana kwa namba 0657940974
Karibuni sana..
Anatakiwa kwenda moja kwa moja kwa muhusika. Sio kurusha barua au andiko jumlajumla tena hadi kwetu wananchi tusiohusika.
Nathan alimfuata Daudi moja kwa moja alipozini na kuua raia.
Yohana mbatizajialipotaka kumsaidia Herode alimfuata.
Paulo alipotaka kumsaidia Rais wa Cyplus Sergio Paulus...
Kwanza kabisa, mnamo Februari 2024 kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, aliwaamuru wanachama wake kuacha kutumia simu kwa sababu zinaweza kunaswa kwa urahisi na kufuatiliwa na majasusi wa Israeli.
Miezi 2 baada ya agizo la mkuu wao yaani April 2024 wakaagiza hizo pagers ndivyo hata BBC na...
Habari za jioni wanajukwaa;
Wiki moja iliyopita niliandikiwa fine kwa makosa mawili na traffic ila akaniambia hawezi kunipatia risiti kwa sababu mtandao ulikuwa unasumbua hivyo akaniagiza nikimuona traffic yeyote nimuombe hiyo risiti ili niweze kulipa deni.
lakini nikakumbuka siku za nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.