jitihada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Ufaransa yatambua jitihada za Rais Samia sekta ya maji, yampongeza na kumuunga mkono zaidi

    UFARANSA YATAMBUA JITIHADA ZA RAIS SAMIA SEKTA YA MAJI, YAMPONGEZA NA KUMUUNGA MKONO ZAIDI Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Chrysoula Zacharopoulou, Waziri wa Nchi-Maendeleo ya Uchumi (Secretary of State for Economic Development) wa Ufaransa...
  2. MDAU TZ

    Maandamano ya CHADEMA ni jitihada zisizo na majibu

    WAKATI niliposikia tangazo la maandamano lililotolewa na uongozi wa CHADEMA,Binafsi nilipata tumaini kuwa sasa ni ule muda uliosubiriwa na Watanzania kwa ajili ya kusimama,kupigana na kutetea haki zao za msingi kwa kupaza sauti kwa viongozi wao na kuwakumbusha juu ya wajibu na majukumu...
  3. Nehemia Kilave

    Hili la Umeme linatosha kuitoa serikali madarakani, Serikali ifanye jitihada za dharula kuweka hali sawa

    Habari JF, ninapoandika hapa ni zaidi ya masaa 12 hakuna umeme .suala la umeme limekuwa ni tatizo kubwa sana maeneo yote, Kazi hazifanyi lakini pia watu wanafanya shughuli zao katika mazingira magumu sana na kwa gharama kubwa . Hili serikali haioni kuna haja ya kufanya jitihada za dharula...
  4. Shining Light

    Kuboresha Mazingira kwa Walemavu wa Macho: Jitihada za Miundombinu, Mafunzo, na Elimu

    Inaeleweka kuwa watu wenye ulemavu wa macho wanakabiliana na changamoto nyingi wanapotembea barabarani au kushiriki katika shughuli za kila siku. Baadhi ya mapendekezo kadhaa ambayo yanaweza kusaidia kuboresha hali yao na kuhakikisha wanaweza kushiriki kikamilifu katika jamii: Miundombinu...
  5. MamaSamia2025

    Unyonge wa Walimu unaanzia mbali. Inahitaji muda na jitihada za dhati kuumaliza

    Ninaandika kwa masikitiko makubwa sana. Siku hizi imekuwa kawaida unatazama TV mara unaona muokota makopo akijisifia kuwa kazi yake inamlipa kuliko hata ya ualimu. Hujakaa vizuri unakuta mwenyekiti wa kijiji naye anawapa amri waalimu ili mradi tu mwalimu aonekane sio lolote. Unaingia FB unakuta...
  6. D

    Kuhusu Kuunga Mkono Jitihada za Serikali, St. John University, Dodoma Mjiongeze

    Sekta binafsi ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi. Pale st John university kikuyu wana eneo kubwa sana ambalo limekaa kikmkakati. Ukitoka kwenye jengo lao jipya la utawala, wana eneo kubwa ambalo linaenda mpaka kikuyu centre. Kama walivyofanya ndugu zao pale kanisani mjini kuwekeza kwenye jengo...
  7. sky soldier

    Jitihada za magaidi wa Hamas kuhamasisha kutokula migahawa ya Mc Donald zaangukia pua, Waarabu wanaendelea kula bata

    Mcdonald ni mgahawa wa fast food mkubwa zaidi duniani Katika mashambulizi ya October 7 Israel ilipovamiwa na Hamas, Mcdonald walitoa vyakula bure kwa wahanga. Hali hii ilipelekea magaidi kuhamasisha kugomea kununua vyakula vya Mc Donald, Chuki hizo hazina nafasi kwa mamilioni ya waarabu...
  8. DR Mambo Jambo

    Haya ndio maboresho ya Mtaala wa Elimu yanayoenda kufanyika Tanzania katika jitihada za kuboresha Elimu

    HAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU Habari za mchana WanaJF Katika kuboresha elimu, Hivi karibuni serikali ilitangaza mabadiliko ya Kisera Na marekebisho ya Mitaala na baadhi ya Sheria ili Elimu iweze kuenda sawa na Sayansi...
  9. benzemah

    Mchengerwa: Rais Samia ni zao la jitihada za Bibi Titi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema taifa linajivunia utendaji kazi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu, ambaye ni zao la hamasa ya Hayati Bibi Titi Mohamed katika kuwahamasisha wanawake nchini kushika nafasi za juu za uongozi...
  10. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Mwanaidi: Serikali inaendelea kuwekeza na kutekeleza jitihada zinazolenga kujenga jamii yenye usawa wa kijinsia

    Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis amesema Serikali inaendelea kuwekeza na kutekeleza jitihada mbalimbali zinazolenga kujenga jamii yenye usawa wa kijinsia. Mhe. Mwanaidi ameyasema hayo Oktoba 29, 2023 wakati wa maadhimisho ya...
  11. MamaSamia2025

    Jitihada zinazofanywa na Zambia kutafuta mbadala wa bandari ya DSM zisipuuzwe

    Wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikitazama na kusoma jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali ya Zambia kupitia Rais wake Hakainde Hichilema kutafuta namna rahisi ya kusafirisha bidhaa zao kutoka ndani ya Zambia na za kuingiza nchini mwao bila kusahau zinazopita kuelekea nchi zingine hasa DRC...
  12. The Sheriff

    Licha ya idadi ya Wanawake walio katika nafasi za maamuzi duniani kuongezeka, bado jitihada zinahitajika

    Usawa wa kijinsia katika uongozi ni suala la msingi ambalo linapaswa kuzingatiwa kwa makini na kushughulikiwa kwa dhati. Kuwa na uwiano sawa wa wanaume na wanawake katika nafasi za uongozi ni jambo ambalo linakwenda mbali zaidi ya suala la haki ya kijinsia pekee; ni suala la usawa wa haki na...
  13. Stephano Mgendanyi

    Kamati ya Bunge Utawala Yaridhishwa na Jitihada za Mlengwa wa TASAF Wilayani Uyui

    KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA YARIDHISHWA NA JITIHADA ZA MLENGWA WA TASAF WILAYANI UYUI NA KUMCHANGIA 530,000/= KUMUWEZESHA KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent Kyombo amesema kamati yake imeridhishwa na...
  14. Pac the Don

    Je, kuna jitihada za dhati za kumaliza rushwa na ufisadi?

    Nimetafakar san jambo hili lakini binafsi sioni jitihada wala nia ya dhati ya kukomesha ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali za umma!! Hivi kwel tunaona tume zikiundwa mara vikosi kazi! Je kwann haviundwi vikosi kaz vya kuchunguza ufisadi, na rushwa? Tumeona report nying za CAG mpaka kuweka waz...
  15. chiembe

    Ushauri: Mbowe aanze kuwafukuza uanachama wanaopinga jitihada zake

    Kawaida, maamuzi ya chama lazima yaheshimiwe. Lakini Martin Maranja Masese ameunda kundi la kumpinga Mbowe. Nashauri Mbowe amuonyeshe Martin Maranja Masese kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya hapo, amalize na Mdude
  16. Robert S Gulenga

    Kama takwimu za miradi ya maendeleo inayotekelezwa zingewafikia Watanzania wote, Wanaokosoa jitihada za Serikali hii wangezomewa sana na Watanzania.

    Toka Muungano wa Zanzibar na Tanganyika kuna awamu 5 za utawala zimepita, kwa namna yake kila awamu imefanya mambo makubwa kwa wakati wake, kuanzia kwa Baba wa Taifa Hayati J.K.Nyerere, Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa (Mungu ampe pumziko la milele), Mzee wetu Profesa Jakaya...
  17. Roving Journalist

    TANESCO yaelezea jitihada zao za kuingiza megawati 90 ili kupunguza mgawo wa umeme

    Tamko la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu mchakato wao wa kupunguza changamoto ya uhaba wa umeme, wameelezea hatua waliyofikia hadi leo Novemba 28, 2022:
  18. Roving Journalist

    Prof. James Mdoe: Serikali itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini

    Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika leo katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam...
  19. MK254

    G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

    Baada ya Urusi kushindwa kwenye frontline na kukiuka miiko ya kivita na kuanza kupiga mabomu yake uswahilini, G7 wamekutana kwenye kikao cha dharula na kuazimia kuongeza juhudi ili kuhakikisha hizi mbinu za Urusi zitadhitiwa pia ili ngoma irudi kwenye mapigano baina ya wanajeshi. =======...
  20. N

    Jitihada za kuongeza mshahara Sekta Binafsi

    Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Katambi amesema serikali tayari imeunda bodi kwa ajili ya kufanya upembuzi ili kupata kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi. "Tutarajie hivi karibuni tutakua tumepeta tangazo maalum la kazi walioifanya, kwa...
Back
Top Bottom