Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Katambi amesema serikali tayari imeunda bodi kwa ajili ya kufanya upembuzi ili kupata kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi.
"Tutarajie hivi karibuni tutakua tumepeta tangazo maalum la kazi walioifanya, kwa...