job

  1. Watakaogombea Ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati

    Watakao gombea ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati. Huko kwenye majimbo vijana wanahitaji ajira, kama mbunge hawezi kutengeneza ajira asichaguliwe ubunge. Maana huyo hana uwezo. Huyu mgombea ubunge alikua anapeleka mchele kwa wananchi ili...
  2. M

    Nashukuru sana job junction Tanzania kwa workshops na mafunzo wanayotoa kwajili ya interviewees skills

    Kwanza kabisa namshukuru mwenyenzi Mungu na then na washukuru Job Junction Tanzania kwa mafunzo ya interviewees skills na huduma zao wanazo toa. Mm kabla sijawatembelea Job Junction Tanzania ofisin kwao,Nilikuwa nafanya applications nyingi sana bila kuitwa kwajili interview .Sikujua kwann...
  3. N

    Tambua ufanisi na umuhimu mkubwa wa job Junction Tanzania

    UKWELI KUHUSIANA NA JOB JUNCTION: Job Junction imekuwa msaada mkubwa kwa vijana na imesaidia vijana wengi kupata uelewa wa interviewees skills na hatimaye kufanya vizuri interviewees . Job Junction hawatoi Ajira kama watu wengine wanavyo fikiri bali wanafundisha watu namna ya kufanya vizuri...
  4. Job Junction Tz

    Habari zenu wadau Kuna mtu yoyote ambae ameshawahi kupata kazi kupitia hawa jamaa wanaojiita "Job Junction Tz ? Kama yupo naomba anipe uzoefu wake na alipataje pataje kazi kupitia kwa hawa jamaa......na je ni wakweli au matapeli tu Asante
  5. Fursa kwa waliosomea ukatibu mahsusi (personal secretary)

    Maombi yatumwe kupitia: application@uti.ac.tz U
  6. Bandari Bagamoyo: Job Ndugai historia itakuhukumu, umeonesha unafiki mkubwa, ni heri ukae kimya

    Hebu tumtazame Job hapa chini. Huyu alikuwa kiongozi wa Mhimili au vip?..Mbona amekuwa mnafiki kiasi hiki huyu mzee? https://www.jamiiforums.com/threads/rais-magufuli-ataja-sababu-kusitisha-ujenzi-bandari-ya-bagamoyo-kwa-mkopo-wa-dola-bilioni-10.1593875/...
  7. Pendekezo: Job Ndugai avuliwe Uspika wa Bunge

    Hii ni kwa sababu Bunge aliloliongoza wakati wa awamu ya 5 lilikubali kutumika kuvunja Katiba ya Nchi, jambo liloleta taharuki na Manung'uniko. Kwa mfano, Kitendo cha Spika Ndugai kuruhusu wabunge waliotimuliwa kihalali kutokana na kusaliti vyama vyao, wakiwemo na wale waliojivua wenyewe ubunge...
  8. Job opportunities at KUWASA, TICD, NIT, MOF and NHL

    Ref.No.EA.7/96/01/L/145 17Th June, 2021 VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of Kigoma Water Supply and Sanitation Authority (KUWASA), Tengeru Institute of Community Development (TICD), The National Institute of Transport (NIT), Ministry of Finance and Planning (MOF) and Ministry of Health, Community...
  9. I

    Writing service for Job Applications

    Are you looking for Job? Do you want professional coaching in writing Job Application documents that create a lasting, positive impression? Then, Business Consultancy Services is the right place, and this is the right time. But first, let's face it: for every advertised Job Position especially...
  10. Job Vacancies at Kilombero Sugar Company Limited

    KILOMBERO SUGAR COMPANY LIMITED JOB VACANCIES Overview Kilombero Sugar Company Limited, the largest producer of sugar in Tanzania operating cohesively with Illovo Distillers Tanzania Limited (IDTL) and a member of Illovo Sugar Africa Limited (Africa's largest sugar producer) Kilombero Sugar...
  11. Spika wa Bunge, Job Ndugai anamuomba Rais aitishe Kikao cha Wanaume tu

    Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Alhamis, bungeni Dodoma, amemwomba Rais wa Tanzania, Suluhu Samia kuitisha Kikao Maalum cha Wanaume pekee ili kuwawezesha kujadilia masuala mbalimbali yanayowahusu. “tunaomba Rais aite mkutano wa wanaume tu.” Nini Maoni yako?
  12. 6 New Job Opportunities At Ifakara Health Institute, June 2021- (Various Posts)

    JOB VACANCIES Click on each job position below to read more details and apply: 1. Intern- ICT- (1 POST) 2. Laboratory Technician- (1 POST) 3. Field Interviewers- (3 POST) 4. Research Scientist- (1 POST) IHI is an equal opportunity employer. We prohibit intentional biases or discrimination and...
  13. 80 New Job Opportunities At Bank Of Tanzania (BOT), June 2021- (Various Posts)

    JOB VACANCIES Click below to download PDF FILE: BANK OF TANZANIA (BOT) JOBS PDF FILE
  14. I've just completed form 6 and looking for a job

    Good morning ladies and gentleman, after a long journey of studying,I've finally compleyed my ACSEE and now am kindly looking for any job available My contacts Mobile : 0676941519 Location : DAR ES SALAAM
  15. J

    Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

    Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo. Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na...
  16. Job Opportunities at MRF

    About MRF: MRF is India’s largest tyre manufacturer and ranked amongst the Top 20 Global Manufacturers with 9 state-of-the-art factories across India. MRF is also India’s largest Original Equipment Manufacturer (OEM) tyre supplier with an expansive tyre range from two-wheelers to fighter...
  17. J

    Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

    Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu. Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka. Aliporejea Freeman alienda air port kumpokea na kumsindikiza hadi nyumbani kwake...
  18. Kenya Partners With Amazon to offer training to Kenyan youth in Cloud Computing

    The Ministry of Information Communication and Technology has partnered with E-commerce giant Amazon to offer free training to Kenyan youth in Cloud Computing. The programme dubbed ‘Amazon Web Services re/Start’ was rolled out last year for countries in Africa. In collaboration with the Kenyan...
  19. New Job Opportunity At At TOTAL Tanzania, May 2021- Graduate Trainee- Field Merchandiser

    JOB TITLE: GRADUATE TRAINEE - FIELD MERCHANDISER Location: DAR ES SALAAM-HAILE SELASSIE RD(TZA) Tanzania Job Description The Field Merchandiser is in charge of several shops and will work in conjunction with the Network Sales Teams, and the Category Manager. ● He/She optimizes sales and...
  20. J

    Awamu hii Spika angekuwa Zungu kasi ya maendeleo ingeongezeka, Job anapenda ligi na Mbowe ambayo ni yao binafsi

    Kwa namna ninavyosikiliza hotuba za Rais Samia halafu tungekuwa na Spika asifungamana na siasa za kishabiki kama Zungu wa Ilala hakika uchumi ungepaa. Mambo ya kila siku kuisema Chadema na Mbowe ambao hawako bungeni ni matumizi mabaya ya kodi zetu. Nataka kujenga Umoja wa kitaifa by Rais...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…