jomo kenyatta

  1. Mkalukungone mwamba

    Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Kenya inashughulikia tukio la moto uliotokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta

    Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Kenya (KAA) inashughulikia tukio la moto uliotokea kwenye sehemu ya nyasi zinazozunguka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA). Timu ya pamoja ya kukabiliana na hali hiyo, ikiwemo Kitengo cha Uokoaji na Zimamoto cha KAA, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF)...
  2. S

    Kumbe hili suala la mikataba ya siri sio Tanzania tu na bandari zetu, huko Kenya raisi anahusishwa na kutaka kutoa Jomo Kenyatta Airport kwa siri!

    Karibu viongozi wote wa Afrika wana tabia moja inayofanana - kujitajirisha binafsi kwa kuingia mikataba ya siri inayoumiza nchi zao, huku wakidanganya umma mikataba hiyo ni kwa faida ya nchi zao. Mtu yeyote mwenye akili atajua kwamba mkataba ambao kweli una nia ya kuinufaisha nchi hauwezi...
  3. mtwa mkulu

    Kauli hii ya Hayati Jomo Kenyatta inaweza kuwa kweli kuhusiana na Tanzania?

    "Waganda ni sawa na wagonjwa muda wowote wanaweza kupona na kudai haki zao" "Wakenya ni sawa na mtu aliye lala muda wowote anaweza kuamka na kudai haki yake" "Watanzania ni sawa na MAITI kamwe hawawezi kudai haki zao!!!" Kauli hii ya Mzee wetu inaukweli?
  4. Lady Whistledown

    Mchakato wa Adani kukabidhiwa JKIA waendelea licha ya migomo

    Mchakato wa kukabidhi usimamizi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) kwa kampuni ya Kihindi, Adani Enterprises, unaendelea, huku kampuni hiyo ikianzisha kampuni tanzu, Airports Infrastructure PLC. itakayokuwa na jukumu la kuendesha, kusimamia, na kuboresha Viwanja vya Ndege...
  5. Return Of Undertaker

    Jomo Kenyatta(RIP): Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao

    Jomo Kenyata alishawai kusema: "Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao, Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao, Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
Back
Top Bottom