jordan

Jordan (Arabic: الأردن‎; tr. Al-ʾUrdunn [al.ʔur.dunː]), officially the Hashemite Kingdom of Jordan (Arabic: المملكة الأردنية الهاشمية‎; tr. Al-Mamlakah al-’Urdunniyyah Al-Hāshimiyyah), is an Arab country in the Levant region of Western Asia, on the East Bank of the Jordan River. Jordan is bordered by Saudi Arabia, Iraq, Syria, Israel and Palestine (West Bank). The Dead Sea is located along its western borders and the country has a 26-kilometre (16 mi) coastline on the Red Sea in its extreme south-west. Jordan is situated at the crossroads of Asia, Africa and Europe. The capital, Amman, is Jordan's most populous city as well as the country's economic, political and cultural centre.What is now Jordan has been inhabited by humans since the Paleolithic period. Three stable kingdoms emerged there at the end of the Bronze Age: Ammon, Moab and Edom. Later rulers include the Nabataean Kingdom, the Persian Empire, the Roman Empire, the Rashidun, Umayyad, and Abbasid Caliphates, and the Ottoman Empire. After the Great Arab Revolt against the Ottomans in 1916 during World War I, the Ottoman Empire was partitioned by Britain and France. The Emirate of Transjordan was established in 1921 by the Hashemite, then Emir, Abdullah I, and the emirate became a British protectorate. In 1946, Jordan became an independent state officially known as the Hashemite Kingdom of Transjordan, but was renamed in 1949 to the Hashemite Kingdom of Jordan after the country captured the West Bank during the 1948 Arab–Israeli War and annexed it until it was lost to Israel in 1967. Jordan renounced its claim to the territory in 1988, and became the second Arab state to sign a peace treaty with Israel in 1994. Jordan is a founding member of the Arab League and the Organisation of Islamic Co-operation. The sovereign state is a constitutional monarchy, but the king holds wide executive and legislative powers.
Jordan is a semi-arid country with an area of 89,342 km2 (34,495 sq mi) and a population numbering 10 million, making it the 11th-most populous Arab country. Sunni Islam, practised by around 95% of the population, is the dominant religion and coexists with an indigenous Christian minority. Jordan has been repeatedly referred to as an "oasis of stability" in a turbulent region. It has been mostly unscathed by the violence that swept the region following the Arab Spring in 2010. From as early as 1948, Jordan has accepted refugees from multiple neighbouring countries in conflict. An estimated 2.1 million Palestinian and 1.4 million Syrian refugees are present in Jordan as of a 2015 census. The kingdom is also a refuge to thousands of Iraqi Christians fleeing persecution by ISIL. While Jordan continues to accept refugees, the recent large influx from Syria placed substantial strain on national resources and infrastructure.Jordan is classified as a country of "high human development" with an "upper middle income" economy. The Jordanian economy, one of the smallest economies in the region, is attractive to foreign investors based upon a skilled workforce. The country is a major tourist destination, also attracting medical tourism due to its well developed health sector. Nonetheless, a lack of natural resources, large flow of refugees and regional turmoil have hampered economic growth.

View More On Wikipedia.org
  1. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani haki za binadamu za Israel

    Wanaukumbi. Mkutano Mkuu wa Nchi za Kiarabu kuijenga upya Gaza. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel huko Gaza na kuishinikiza Israel kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika katika eneo hilo...
  2. R

    Mfalme wa Jordan kaenda white house kamuunga mkono Trump kuwahamisha wapalestina, Misri na nchi nyingine kukutana Saudi Arabia kusuka mpango kazi

    Mfalme Abdullah wa Jordan na Mwanawe Wamtembelea Trump Ikulu Mfalme Abdullah wa Jordan na mwanawe wametembelea Ikulu ya White House kwa mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Mkutano huo uliangazia juhudi zinazoendelea za kubadilisha mwelekeo wa Mashariki ya Kati, hasa kuhusu uhamishaji...
  3. LeBron James afunga pointi 40, aifikia rekodi ya Jordan

    Nyota wa Kikapu, LeBron James ameonesha ukomavu baada ya kuiongoza Los Angeles Lakers kuoata ushindi wa Vikapu 120-112 dhidi ya Golden State Warriors katika Ligi ya NBA. LeBron amefunga Pointi 42, ‘Ribaundi’ 17 na Asisti 8 ambapo ameungana na Michael Jordan kuwa wachezaji wawili pekee...
  4. Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

    Watawapokea Wapalestina wa Gaza Wa kwanza ni Abdel Fattah El-Sisi, rais wa Misri, na wa pili ni Abdullah II, mfalme wa Jordan Hawa jamaa ni pro west na pro Israeli. Walipokea misaada ya kutosha toka Marekani sasa na wao ni wakati wa kulipa. Wametakiwa kuwapokea wana Gaza milioni 1.5 ili...
  5. Mtoto wa Michael Jordan, akamatwa Florida baada ya kukutwa na dawa za kulevya

    Marcus Jordan, mtoto wa mwanamichezo maarufu wa mpira wa kikapu, Michael Jordan, amekamatwa Florida kwa tuhuma za kuendesha gari akiwa amelewa na kumiliki dawa za kulevya aina ya cocaine. Polisi walimkamata baada ya kugundua gari lake, Lamborghini, limekwama kwenye reli za treni, ambapo...
  6. Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

    Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo. Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani. Haiwezekani mtu...
  7. U

    Trump awaonea huruma mateso wanayopata wapalestina, aagiza misri na jordan kubadili sera zao na kuanza kuwahamishia wengi zaidi nchini mwao!

    Wadau hamjamboni nyote? Rais trump atoka maagizo mazito ya kiutendaji kwa nchi za Jordan na misri Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: January 26, 2025 By Agencies Today, 4:32 am US President Donald Trump says that Jordan and Egypt should take more Palestinians from Gaza, where...
  8. Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

    Wale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu. Mnaidhani wale sio sniper refer Donald Trump alipunyuliwa nywele badala ya kupigwa kichwa na sniper....tuendelee Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili. Mbowe mtoto wa mjini akahisi...
  9. Kazi imeanza mpaka wa Jordan na Israel.Walinzi watatu wa Israel wauawa.

    Walinzi watatu wa Israel wameuawa kwa kupigwa risasi kutokea upande wa mpaka wa Jordan kwenye kivuko pekee cha daraja linalounganisha ukingo wa magharibi wa Palestina na Jordan. Uchunguzi umeanza kubaini tukio hilo kwenye daraja lijulikanalo kama Allenby Shooting attack at the West Bank-Jordan...
  10. Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

    Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine, - Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato...
  11. Jordan yasema itatungua kombora lolote litakalopita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel

    Nchi ya Jordan imesema haitarusu kombora au makombora au drones za aina yeyote kupita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel. Na kama kuna aina yeyote ya silaha itayoonekana kwenye anga lake kwenda Israel basi utatunguliwa mara moja. Huko mashariki ya kati watu wamechafukwa.
  12. Bila tawala za sasa za Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait kuondolewa madarakani, Israel itaendelea kushikilia ardhi ya Palestina kwa muda mrefu

    Wanaoifanya israel iendelee kuwepo kwenye ardhi ya palestina ni tawala za siri za kizayuni zinazoshikilia madaraka Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait, Bahrain, Qatar na Oman. Bila ya tawala za nchi hizo kung'olewa madarakani ni kazi bure tu. Hizo ndiyo tawala zinazolipia gharama zote za...
  13. Air jordan orijino

    Mshkaji wangu kaingia States kaniachia mazaga zaga kibao geto sasa kuna hii air jordan tatizo size ya mguu hatuvaliani. Size 43, kiatu bado kipya kipya , bei chee tu tunafanya biashara. Kiatu orijino sio midosho ya vunjabei. Kama mpenzi wa haya mambo njoo pm tuyajenge
  14. Jordan Bardella tishio kwa Rais Macron

    Uchaguzi wa bunge la ulaya umemalizika jana kwa raia kutoka nchi 27 kupiga kura kuchagua wabunge watakaowawakilisha katika bunge la ulaya ambapo vyama vya siasa vya mrengo wa kulia vimeonekana kufanya vizuri. Nchini ufaransa, chama cha mrengo wa kulia cha “National Rally, NR” kimefanya vizuri...
  15. Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    Hello bosses and roses, it has been a while... Leo ngoja nimuongelee huyu kinda wa NBA kwa jina la Antony Edwards au Ant-Man, dogo wa 2001 tu hapa anaekipiga kwenye team ya Minnesota TImberwolves. Huyu dogo ni hatari, kama umefuatilia NBA playoffs utaona kaongoza timu yake kuingia semi-final...
  16. Jordan yaanza kujiweka mbali na Israel, imesikia onyo la Iran

    Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel. Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa...
  17. Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

    Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa Shirika la usalama nchini Jordan "Royal intelligence" limeripoti kwamba Watu Watatu wamefariki dunia kwa kulipukiwa na suicide drone ya iran waliyoidungua wakati wakijaribu kuiokoa Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran usiku wa...
  18. Ufalme wa Jordan uko hatarini kufuatia kuongezeka uungwaji mkono wa Hamas. Waandamanaji wamsifu Yahya Sinwar

    Kiwango cha ongezeko la maandamano nchini Jordan kumeanza kutishia ufalme wa nchi hiyo.Wiki iliyopita waandamanaji hao walifurika mitaani na kuzunguka ubalozi wa Israel. Pamoja na kubeba mabango ya kusifia wapiganaji wa Hamas,waandamanaji hao walisikika wakiimba kuwa wao ni wafuasi wa Yahya...
  19. Forbes 2024: Michael Jordan, JAY-Z, Lebron James, Rihanna watajwa orodha ya Mastaa wenye Utajiri Mkubwa duniani

    1. Michael Jordan Utajiri: Tsh. Trilioni 8.2 | Miaka: 61 | Uraia: Marekani. 2. Oprah Winfrey Utajiri: Tsh. Trilioni 7.2| Miaka: 70 | Uraia: Marekani. 3. Jay-Z Utajiri: Tsh. Trilioni 6.4| Miaka: 54 | Uraia: Marekani. 4. Kim Kardashian Net Worth: $1.7 Billion | Age: 43 | Citizenship: U.S. 5. Tyler...
  20. Wananchi Jordan waandamana kwa nguvu wakitaka mpaka ufunguliwe waingie Palestina

    Joto la vita limeanza kupanda ndani ya Jordan ambayo pamoja na Misri ndizo nchi muhimu kwa usalama wa Israel. Wananchi wa nchi hiyo hawajaridhishwa na namna nchi yao ambayo ina udugu mkubwa na Palestina kwa namna inavyoshughulikia madhila ya wapalestina na vita vya Gaza. Hata walipomuona mfalme...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…