Joseph Nyumah Boakai (born 30 November 1944) is a Liberian politician who is the 26th and current president of Liberia. He previously served as the 29th vice president of Liberia from 2006 to 2018, under President Ellen Johnson Sirleaf and as the minister of agriculture from 1983 to 1985. Boakai ran for president in 2017, losing the election to George Weah. He went on to defeat Weah in the 2023 election.
Rais Joseph Boakai amechukua hatua hiyo baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (GAC) kuripo kuwa Gavana Aloysius Tarlue alikataa kutoa taarifa muhimu wakati wa Ukaguzi na hivyo kuongeza mashaka juu ya utendaji wake.
Pia, Tume ya Ukaguzi imesema Uongozi wa Benki Kuu haukusimamia...
Rais Joseph Boakai ametangaza atapunguza mshahara wake kwa Asilimia 40 huku Ofisi yake ikieleza ni sehemu ya kuonesha Utawala Unaowajibika
Hivi karibuni Wananchi wengi wamelalamikia kupanda kwa gharama ya maisha Nchini hapo ambapo Kituo cha BBC kimedai takriban Mtu mmoja kati ya Watano anaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.