joseph mhagama

  1. Roving Journalist

    Dkt. Joseph Mhagama: Hatutaki aina ya uwekezaji ambao watawanyonya Watanzania

    Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito Mhagama mechangia hoja Bungeni kuhusu Sekta ya Utalii akitolea mfano wa Jimbo la Madaba. Amesema kuna fursa ya uwekezaji wa mafao ya misitu, ambapo kuna ardhi iliyopandwa miti zaidi ya ekari 100,000. Ameeleza kuna mpango maalum wa kupata ongezeko la viwanda...
Back
Top Bottom