Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.
Huenda watu wengi hufikiri kwamba wanapoliona jua angani, ndivyo hivyo, na wengine hata hufikiri kwamba ndege hupita inaporuka.
Lakini sivyo ilivyo, jua linazama na kuzama huku likiwa na habari za kushangaza ambazo hata huzifahamu.
Watu wengi huamini kwamba jua huchomoza na kuzama, yaani, mawio...
Wakuu vipi nimekuwa nikitengeneza video zangu kwenye pc sasa nataka kuweka youtube je nitapataje copyright ili kuzuia watu kucopy na kupaste.
Ukinijuza fanya mimi ni kama mwenye 0 yani sina ujuzi wowote kuhusu copyright kwa anayejua tafadhali sana nijulishe ahsante
Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.
Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo...
Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya Mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute...
NASA Yaingia Katika Angahewa ya Jua kwa Mara ya Kwanza, Ikileta Uvumbuzi Mpya
Kwa mara ya kwanza katika historia, chombo cha anga kimegusa Jua. Uchunguzi wa NASA wa Parker Solar sasa umepitia anga ya juu ya Jua.
Hatua hiyo mpya inaashiria mafanikio kwa kifaa
.hiki cha Parker Solar Probe na...
Hivi umewahi kugundua kuwa kuna wengi ambao wanajua UWEZO na WEMA wako ila hawakutaji kabisaaaa!!!.
Ila kuna wachache ambao wanajua baadhi ya MADHAIFU yako na MABAYA yako na wanabidii sana ya kuyazungumzia.
Matokeo yake ni kuwa, mabaya yako yanasikika zaidi kuliko mema yako.
Halafu kibaya...
Kwema Wakuu!
Leo sina mengi ya kusema,
Mada tajwa hapo yahusika.
Akili ni jua
Elimu ni mwezi.
Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe.
Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili.
Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu.
Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye...
MFAHAMU DAKTARI ALIYEGUNDUA DAWA ILIYOTIBU UGONJWA HATARI WA POLIO NA HATI MILIKI YA DAWA HIYO LIKAPEWA JUA.
Jonas Salk alikuwa mtafiti na mgunduzi wa dawa ya ugonjwa wa polio alizaliwa October 28, mwaka 1914 New York , marekani .
polio ni Ugonjwa wa kuambukiza kutoka kwa mtu mmoja kwenda...
Ninavyoijua Dar kwa joto, halafu nimeona Watz wanalalamika kuna ongezeko la jua, na sasa kuna hizi taarifa za mgao wa maji, sio ajabu wakazi wake wanaandika vitu vya ajabu humu siku hizi......
==============================
Dar es Salaam. When Willis Mhango secured a deal of washing 20...
FAHAMU SAYARI ZETU 8 ZILIVYOJIUNDA 🤔
Sayari zimeanza kujiunda mara baada tu ya mfumo wetu wa Jua ulivyomaliza kuundika kutokana na mawingu mazito yenye gesi na mavumbi mavumbi yatokayo huko interstellar space
Mawingu mazito yalipasuka kutokana na mvumo au twaweza kusema shockwave iliyotokea...
Kuna jambo moja ambalo Rais Samia huenda bado hajaligundua ni kuhusu nafasi yake ya kisiasa kuwa imetengenezwa na nguvu ya siasa za vyama kuwatumia wanawake kama mtaji wa kisiasa ili kupata madaraka au kuendelea kuwa madarakani na kamwe sio kuwapa wanawake madaraka ili wawatale wanaume.
Pili...
Dar es salaam haijawahi kuwa na majira ya baridi kwa muda mrefu hivi. Biharamulo nimeona clip kuna hadi barafu inadondoka kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Ulaya wanateseka na joto.
Nadhani haya hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna universal system ambayo wanasayansi hawajaigundua kama...
Wanabodi,
Hii ni C&P, kwa msaada wa Classmate wangu ambaye ni dakitari, kanimegea toka group lao la madakitari.
Karibu.
Paskali
TUCHANJE MVUA AU TUOTE JUA?
Imeandikwa na Dr. Ally Mahadhy (PhD) - UDSM.
Ugonjwa wa kirusi cha korona (COVID-19 au UVIKO-19), kwa mara nyengine tena unaku wa ni...
1. Alaska
Hiki ni kipande cha ardhi kilichokuwa siku za nyuma chini ya himaya ya Urusi kabla hajakiuza kwa Marekani, lakini Marekani walikinunua na kuwa sehemu ya ardhi yake.
Kisiwa hiki pia huitwa kisiwa cha vijito vizuei vya barafu . KWENYE kisiwa hiki, sehemu zake nyingi jua halizami...
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.
Na, Robert Heriel
Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.
Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba Nchini (TMDA), Bw. Adam Fimbo ametoa rai kwa jamii kutambua dawa zote za antibiotiki (Antibiotic) endapo watazitumia kwamba ni lazima iwe na matokeo ikiwemo harufu katika mkojo wa mtumiaji baada ya kutumia.
Bw. Fimbo ametoa rai hiyo wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.