jua

Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.

View More On Wikipedia.org
  1. Mufti kuku The Infinity

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Huenda watu wengi hufikiri kwamba wanapoliona jua angani, ndivyo hivyo, na wengine hata hufikiri kwamba ndege hupita inaporuka. Lakini sivyo ilivyo, jua linazama na kuzama huku likiwa na habari za kushangaza ambazo hata huzifahamu. Watu wengi huamini kwamba jua huchomoza na kuzama, yaani, mawio...
  2. Unique Flower

    Hivi ukija kujua hili kama wewe utafanyaje?

    Hivi ukijajua mdogo wako tena kipenzi ni mtoto wa mume wako ambaye amezaa na mama yako utafanyaje? Naomba ushauri positive not negative.
  3. Binadamu Mtakatifu

    Naomba kujuzwa namna ya kupata copyright ya video ya youtube

    Wakuu vipi nimekuwa nikitengeneza video zangu kwenye pc sasa nataka kuweka youtube je nitapataje copyright ili kuzuia watu kucopy na kupaste. Ukinijuza fanya mimi ni kama mwenye 0 yani sina ujuzi wowote kuhusu copyright kwa anayejua tafadhali sana nijulishe ahsante
  4. nyboma

    Usaili wa PCCB Dodoma umenikutanisha na Ex’s wangu kwa ufupi tu ukiona manyoya jua keshaliwa

    Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E. Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo...
  5. I

    Hii ni proof kuwa bila Marekani maisha hayawezekani

    Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them. Hata case ya Mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute...
  6. THE SPIRIT THINKER

    NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

    NASA Yaingia Katika Angahewa ya Jua kwa Mara ya Kwanza, Ikileta Uvumbuzi Mpya Kwa mara ya kwanza katika historia, chombo cha anga kimegusa Jua. Uchunguzi wa NASA wa Parker Solar sasa umepitia anga ya juu ya Jua. Hatua hiyo mpya inaashiria mafanikio kwa kifaa .hiki cha Parker Solar Probe na...
  7. Kasomi

    Wanao jua uwezo na wema wako hawakutaji na wasio jua ndio hukutaja

    Hivi umewahi kugundua kuwa kuna wengi ambao wanajua UWEZO na WEMA wako ila hawakutaji kabisaaaa!!!. Ila kuna wachache ambao wanajua baadhi ya MADHAIFU yako na MABAYA yako na wanabidii sana ya kuyazungumzia. Matokeo yake ni kuwa, mabaya yako yanasikika zaidi kuliko mema yako. Halafu kibaya...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Tusijisahaulishe; Akili na elimu ni kama Jua na Mwezi

    Kwema Wakuu! Leo sina mengi ya kusema, Mada tajwa hapo yahusika. Akili ni jua Elimu ni mwezi. Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe. Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili. Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu. Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye...
  9. Kasomi

    Mfahamu Daktari Aliyegundua Dawa Iliyotibu Ugonjwa Hatari wa Polio na Hati Miliki Ya Dawa Hiyo likapewa Jua

    MFAHAMU DAKTARI ALIYEGUNDUA DAWA ILIYOTIBU UGONJWA HATARI WA POLIO NA HATI MILIKI YA DAWA HIYO LIKAPEWA JUA. Jonas Salk alikuwa mtafiti na mgunduzi wa dawa ya ugonjwa wa polio alizaliwa October 28, mwaka 1914 New York , marekani . polio ni Ugonjwa wa kuambukiza kutoka kwa mtu mmoja kwenda...
  10. MK254

    Mgao wa maji Dar, halafu uongeze na jua linavyopiga, wenzetu mnalo

    Ninavyoijua Dar kwa joto, halafu nimeona Watz wanalalamika kuna ongezeko la jua, na sasa kuna hizi taarifa za mgao wa maji, sio ajabu wakazi wake wanaandika vitu vya ajabu humu siku hizi...... ============================== Dar es Salaam. When Willis Mhango secured a deal of washing 20...
  11. THE SPIRIT THINKER

    Mfumo wetu wa jua ulivyo jiumba hapo zamani za kale

    FAHAMU SAYARI ZETU 8 ZILIVYOJIUNDA 🤔 Sayari zimeanza kujiunda mara baada tu ya mfumo wetu wa Jua ulivyomaliza kuundika kutokana na mawingu mazito yenye gesi na mavumbi mavumbi yatokayo huko interstellar space Mawingu mazito yalipasuka kutokana na mvumo au twaweza kusema shockwave iliyotokea...
  12. Nyani Mzee Snr

    Sikuwahi fahamu mapenzi yanaumiza hivi

  13. nyboma

    Kama umeoa jua kabisa mke wako anatoka kimapenzi na Ex- wake, kijana wa mtaa mmoja au mfanyakazi mwenzake)

    Kwako ndugu yangu uliye oa hao ndio maadui zako.
  14. Zanzibar-ASP

    Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

    Kuna jambo moja ambalo Rais Samia huenda bado hajaligundua ni kuhusu nafasi yake ya kisiasa kuwa imetengenezwa na nguvu ya siasa za vyama kuwatumia wanawake kama mtaji wa kisiasa ili kupata madaraka au kuendelea kuwa madarakani na kamwe sio kuwapa wanawake madaraka ili wawatale wanaume. Pili...
  15. konda msafi

    Ukiachana na dunia kulizunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake nadhani kuna mzunguko mwingine ambao wanasayansi hawajaugundua

    Dar es salaam haijawahi kuwa na majira ya baridi kwa muda mrefu hivi. Biharamulo nimeona clip kuna hadi barafu inadondoka kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Ulaya wanateseka na joto. Nadhani haya hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna universal system ambayo wanasayansi hawajaigundua kama...
  16. Pascal Mayalla

    #COVID19 Je, Watanzania tuchanje mvua au tuote jua? By Dr. Ally Mahadhy (PhD) - UDSM

    Wanabodi, Hii ni C&P, kwa msaada wa Classmate wangu ambaye ni dakitari, kanimegea toka group lao la madakitari. Karibu. Paskali TUCHANJE MVUA AU TUOTE JUA? Imeandikwa na Dr. Ally Mahadhy (PhD) - UDSM. Ugonjwa wa kirusi cha korona (COVID-19 au UVIKO-19), kwa mara nyengine tena unaku wa ni...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Zijue nchi 6 ambazo hakuna usiku, jua halizami

    1. Alaska Hiki ni kipande cha ardhi kilichokuwa siku za nyuma chini ya himaya ya Urusi kabla hajakiuza kwa Marekani, lakini Marekani walikinunua na kuwa sehemu ya ardhi yake. Kisiwa hiki pia huitwa kisiwa cha vijito vizuei vya barafu . KWENYE kisiwa hiki, sehemu zake nyingi jua halizami...
  18. Lycaon pictus

    Hivi gari la umeme haliwezi kutumia umeme wa jua?

    Eti wakuu. Huku kwenye jua la kutosha, gari ya umeme haiwezi kutumia umeme wa jua? Inatembea na panels za solar juu.
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

    DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO. Na, Robert Heriel Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI. Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na...
  20. Analogia Malenga

    TMDA: Ukitumia antibiotiki na usipokojoa mkojo wenye harufu, jua hiyo ni bandia

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba Nchini (TMDA), Bw. Adam Fimbo ametoa rai kwa jamii kutambua dawa zote za antibiotiki (Antibiotic) endapo watazitumia kwamba ni lazima iwe na matokeo ikiwemo harufu katika mkojo wa mtumiaji baada ya kutumia. Bw. Fimbo ametoa rai hiyo wakati wa...
Back
Top Bottom