jude bellingham

  1. JanguKamaJangu

    Jude Bellingham amemaindi baada ya Vinicius Jr kutompa mpira apige penati

    Jude Bellingham 'is raging at Vinicius Jr's behaviour over a penalty' and 'is particularly upset' with his goal-scoring issues at Real Madrid The reason behind Jude Bellingham's fury at being substituted in Real Madrid's 3-1 defeat by AC Milan has been revealed. Defending champions Madrid...
  2. Waufukweni

    Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti vyao katika Hafla ya Ballon d’Or usiku huu

    Taarifa mpya kutoka ukumbini Théâtre du Châtelet ni kwamba majina ya nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr na Jude Bellingham yameondolewa kwenye viti vyao kwa hafla ya utoaji wa tuzo za Ballon d’Or itakayofanyika usiku wa leo, Paris, Ufaransa. Hali hii imeleta mshangao mkubwa, na hakuna anayejua...
  3. Teko Modise

    Sijaona uwezo mkubwa wa Jude Bellingham, hiyo Ballon d’or ni bora apewe Vini Jr

    Kumekuwa na kelele mitandaoni kuwa Jude Bellingham anastahili kutwaa tuzo ya Ballo d’or Msimu huu kwenye Uefa kuanzia hatua ya mtoano mpaka Madrid wanabeba taji sijaona mchango wake walau hata kuamua mechi. Vini Jr ameshafanya hivyo mara nyingi lakini sifa zote anamwagiwa Jude. Jude ana kipi...
Back
Top Bottom