Mnaiona kama vile Simba haina fowadi wa kueleweka, lakini ndiyo inayoongoza kwa kufunga magoli mengi kwenye Ligi kuu Tanzania. Mnaiona simba kama vile ni timu dhaifu lakini Simba na Yanga zote zilikuwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga ikashindwa kufuzu hatua ya Makundi, Simba ikafuzu.
Leo...