juisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lycaon pictus

    Soft drinks na juisi ziwekewe onyo kuwa unywaji kupita kiasi ni hatari kwa afya zetu

    Hizi habari za soft drinks na juisi tumeiga tu kwa wazungu lakini watu weusi hazitufai kabisa. Kwanza metabolic rate ya mzungu ipo juu kuliko ya mtu mweusi. Pengine sababu ni wao kuishi maeneo ya baridi. Hivyo mzungu anachakata chakula haraka kuliko mtu mweusi. Pili magonjwa yatokanayo na...
  2. ommytk

    Je, umewahi kujaribu juisi ya tembele?

    Hivi kwa wale wenye uhitay wa hivi vitu je mmewahi kutumia juisi ya tembele kwa ajili ya nguvu za kiume aisee ni hatari hiyo kitu kama ujajaribu ebu leo nenda kajaribu utakuja niambia pia madhara hakuna kabisa hiyo nichakula
  3. adden

    Pande za moshi: Yule babu muhindi muuza juisi bado yupo?

    Habari za pande zote. Naomba kuuliza watu wa kipande hiyo(mo-town) Yule babu muhindi pale dabo rodi alikuwa anauza juisi bado yupo?? Nilikuwa nikipita mitaa hiyo lazma niende kunywa juisi pale zilikuwa tamm sana. Nilikuwa napenda ukifika pale ukataka juisi,basi anafungua friji anatoka na...
  4. Analogia Malenga

    TBS: Juisi ya Ceres yenye sumu haijaingia nchini

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamesema sharubati(Juisi) ya Ceres ambayo ilitahadharishwa kuwa na sumu kuvu haijaingia nchini Tanzania Mamlaka ya Kimataifa ya Kudhibiti Usalama wa Chakula(INFOSAN) ambayo ipo chini ya FAO na WHO walitahadharisha kuhusu juisi hiyo TBS walichukua hatua ya...
  5. Mumlii

    Naomba kujuzwa faida ya Tangawizi kwenye juisi hasa Juisi ya Parachichi

    Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama?
  6. Aziwero

    Nataka kuanza kuuza juisi na maziwa bar, ushauri wenu tafadhali

    Habari wanajukwaa. Kwa muda kidogo nimekua nikifuatilia sana biashara ya juice na maziwa imekua ikinipendeza sana na nataka kuona kama naweza nikaimudu! Naomba msaada wa kujua vitu muhimu vinavyohitajika kwa hiyo biashara na gharama zake kwa ujumla! Ahsanteni
  7. Nyendo

    Ladha ipi ya juisi huwezi kuichoka?

    Habari wana jukwaa, Kama mada inavyojieleza. Ni ipi ladha ya juisi huwezi kuichoka hata unywe mara nyingi. Kwa upande wangu mchanganyiko wa nanasi, parachichi na pasheni. Kwa kweli napenda sana mchanganyiko huu na ile harufu ya pasheni ndio naburidika kabisa. Hii hata uandaaji wake sio mgumu...
  8. mludego

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kuandaa juisi ya komamanga

    Naomba kujuzwa namna ya kuandaa hili tunda kwaajili ya juice, na pia vitu naweza kuchanganya katika hiyo juice. Asanteni
Back
Top Bottom