julai

Julayi (transl. Wanderer) is a 2012 Indian Telugu-language action comedy film written and directed by Trivikram Srinivas, and was produced by S. Radha Krishna under Haarika & Hassine Creations banner and was presented by DVV Danayya. The film stars Allu Arjun, Ileana D'Cruz, Sonu Sood, and Rajendra Prasad. The soundtrack was composed by Devi Sri Prasad, with cinematography handled by Chota K. Naidu and his brother Shyam K. Naidu, and editing done by Prawin Pudi.
The film was released worldwide on 9 August 2012 to positive reviews, and was commercially successful. The film has garnered the Nandi Award for Best Popular Feature Film. It was remade into Tamil titled as Saagasam.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Dirisha la usajili Tanzania kufunguliwa Julai 1 kufungwa Agosti 31, 2022

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa rasmi ya dirisha kubwa la usajili kwa vilabu vinavyo shiriki ligi zote zilizopo chini ya shirikisho hilo la soka nchini Tanzania. Taarifa hiyo itavihusu vilabu vyote vinavyoshirki ligi kuu ya NBC Tanzania bara,ligi daraja la kwanza...
  2. L

    Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong kufunguliwa mwezi Julai

    Mei 29, 2022, Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong lililoko magharibi mwa wilaya ya kitamaduni ya Kowloon Magharibi, litafunguliwa mwezi Julai mwaka huu na kuonyesha vitu vya kale kutoka kwa Jumba la Makumbusho ya Kasri la...
  3. Monica Mgeni

    Ofisi ya Rais-Utumishi kutekeleza kwa wakati maelekezo ya Rais ya kupandisha mishahara ya watumishi

    OFISI YA RAIS-UTUMISHI KUTEKELEZA KWA WAKATI MAELEKEZO YA MHE. RAIS YA KUPANDISHA MISHAHARA YA WATUMISHI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama amesema ofisi yake imejipanga kupandisha mishahara ya Watumishi wa Umma kwa wakati kama...
  4. John Haramba

    Kikosi cha Simba kilichoifunga Yanga mabao 4-1, Julai 2, mwaka1994

    Simba iliyoifunga Yanga mabao 4-1, Julai 2, mwaka1994 Kuna George Masatu, Mustapha Hoza, Hussein Marsha, Mohamed Mwameja, Godwin Aswile, Madaraka Suleiman, Azim Dewji (mfadhili). Edward Chumila, Idd Suleiman, Deo Mkuki, Duwa Said na Athuman China.
  5. Roving Journalist

    TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 2.51 Desemba 2021, kikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kufikiwa tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996. Aidha, Julai - Desemba 2021, TRA imekusanya TZS trilioni 11.11, sawa 98% ya lengo la TZS trilioni 11.302.
  6. KiuyaJibu

    Tarehe 7 Julai rasmi siku ya Kiswahili duniani

    TAREHE 7 JULAI RASMI SIKU YA KISWAHILI DUNIANI 1/2 Mkutano Mkuu wa 41 wa #UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani. Azimio hilo limepitishwa na nchi zote wanachama wa UNESCO bila kupingwa, leo tarehe 23 Novemba, 2021, Paris nchini Ufaransa. Tuko pamoja; na...
  7. beth

    #COVID19 China haijarekodi maambukizi ya ndani kwa mara ya kwanza tangu Julai, 2021

    Mamlaka ya Afya Nchini humo leo imesema kwa mara ya kwanza tangu Julai, hakuna maambukizi ya ndani ya COVID-19 yaliyoripotiwa, hali inayoashiria huenda mlipuko wa hivi karibuni umedhibitiwa. Tangu Julai 20 zaidi ya watu 1,200 walithibitishwa kupata maambukizi ya Virusi vya Corona China. Hata...
  8. C

    Orodha: Wasanii walitozamwa zaidi YouTube kwa mwezi Julai

    1. Diamond - Views Milioni 33.4 2. Rayvanny - Views Milioni 21.5 3. Zuchu - Views Milioni 19.1 4. Mbosso - Views Milioni 16.4 5. Harmonize - Views Milioni 16.2 6. Alikiba - Views Milioni 11.9 7. Nandy - Views Milioni 5.9 8. Rose Muhando - Views Milioni 5.2 9. Zabron Singers - Views Milioni 5 10...
  9. Mwamuzi wa Tanzania

    Tunaosubiria mshahara wa Julai 2021 kwa hamu tukutane hapa.

    Mada juu yajieleza. Tukutane hapa kwa updates zaidi. Mimi nitaangalia salio kila baada ya dakika 30, ikitiki tawajuza, ila huko nmb wakiwahi mtujuze pia.
  10. tinkanyarwele

    Watumishi wa Umma mliopata uhamisho Mei, Juni na Julai 2021 mmepokea barua zenu za uhamisho?

    Kwa wale Watumishi wa Umma ambao wamebahatika kupata uhamisho unaotolewa na Tamisemi kati ya mwezi May hadi July 2021, vip kuna ambao wamepata vibali au barua za kuruhusiwa kwenda waliko hamia? Mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze. Hii ni kwa sababu hali hii haijazoeleka kwa miaka ya nyuma...
Back
Top Bottom