julius kambarage nyerere

Julius Kambarage Nyerere (Swahili pronunciation: [ˈdʒuːlius kɑmˈbɑɾɑgɑ ɲɛˈɾɛɾɛ]; 13 April 1922 – 14 October 1999) was a Tanzanian anti-colonial activist, politician, and political theorist. He governed Tanganyika as Prime Minister from 1961 to 1962 and then as President from 1963 to 1964, after which he led its successor state, Tanzania, as President from 1964 to 1985. He was a founding member and chair of the Tanganyika African National Union (TANU) party, and of its successor Chama Cha Mapinduzi, from 1954 to 1990. Ideologically an African nationalist and African socialist, he promoted a political philosophy known as Ujamaa.
Born in Butiama, Mara, then in the British colony of Tanganyika, Nyerere was the son of a Zanaki chief. After completing his schooling, he studied at Makerere College in Uganda and then Edinburgh University in Scotland. In 1952 he returned to Tanganyika, married, and worked as a school teacher. In 1954, he helped form TANU, through which he campaigned for Tanganyikan independence from the British Empire. Influenced by the Indian independence leader Mahatma Gandhi, Nyerere preached non-violent protest to achieve this aim. Elected to the Legislative Council in the 1958–1959 elections, Nyerere then led TANU to victory at the 1960 general election, becoming Prime Minister. Negotiations with the British authorities resulted in Tanganyikan independence in 1961. In 1962, Tanganyika became a republic, with Nyerere elected its first president. His administration pursued decolonisation and the "Africanisation" of the civil service while promoting unity between indigenous Africans and the country's Asian and European minorities. He encouraged the formation of a one-party state and unsuccessfully pursued the Pan-Africanist formation of an East African Federation with Uganda and Kenya. A 1963 mutiny within the army was suppressed with British assistance.
Following the Zanzibar Revolution of 1964, the island of Zanzibar was unified with Tanganyika to form Tanzania. After this, Nyerere placed a growing emphasis on national self-reliance and socialism. Although his socialism differed from that promoted by Marxism–Leninism, Tanzania developed close links with Mao Zedong's Marxist-governed China. In 1967, Nyerere issued the Arusha Declaration which outlined his vision of ujamaa. Banks and other major industries and companies were nationalised; education and healthcare were significantly expanded. Renewed emphasis was placed on agricultural development through the formation of communal farms, although these reforms hampered food production and left areas dependent on food aid. His government provided training and aid to anti-colonialist groups fighting white-minority rule throughout southern Africa and oversaw Tanzania's 1978–1979 war with Uganda which resulted in the overthrow of Ugandan President Idi Amin. In 1985, Nyerere stood down and was succeeded by Ali Hassan Mwinyi, who reversed many of Nyerere's policies. He remained chair of Chama Cha Mapinduzi until 1990, supporting a transition to a multi-party system, and later served as mediator in attempts to end the Burundian Civil War.
Nyerere was a controversial figure. Across Africa he gained widespread respect as an anti-colonialist and in power received praise for ensuring that, unlike many of its neighbours, Tanzania remained stable and unified in the decades following independence. His construction of the one-party state and use of detention without trial led to accusations of dictatorial governance, while he has also been blamed for economic mismanagement. He is held in deep respect within Tanzania, where he is often referred to by the Swahili honorific Mwalimu ("teacher") and described as the "Father of the Nation."

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Hakika Mwalimu alikuwa Special, hata hapa anakiri makosa aliyofanya kupelekea Tanzania kutoinuka kiuchumi kutokana na sera za Kijamaa

    Hakika mwalimu alishinda vita ya kijamii, sidhani hapa Africa ana mpinzani katika social policies ambazo hadi leo tunafaidika nazo. Sidhani hii leo kuna kiongozi anaweza akawa honest kuwa aliteleza. Katika interview hii, anakiri kutaifisha viwanda ilikuwa ni kosa kubwa mno akiongeza na...
  2. polokwane

    Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

    Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano. Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita...
  3. S

    Nyerere alikuwa anamfurahisha nani kukubali huu muundo wa Muungano?

    Huu ni muungano wa kulazimisha tena kwa mtutu wa bunduki. Ndio maana Kenyatta alisemaga watanzania ni wafu. Muundo wa hovyo hauwajawahi kuwepo duniani ndio maana CCM wanauita wa pekee hp duniani. Eti watu hawatakiwi hata kutaja jina Tanganyika kwasababu eti hatujui hata maana ya jina Hilo. Nini...
  4. N

    Mambo 10 ya kiuongozi yanayomfananisha Rais Samia Suluhu Hasan na hayati Julius Kambarage Nyerere

    1. Wote ni wapenda amani na umoja, kama Mwalimu Nyerere alivyopigania amani, Rais Samia anahakikisha Tanzania inabaki kuwa nchi ya utulivu. 2. Nguli wa Kiswahili, Mwalimu Nyerere alijenga misingi ya Kiswahili, Rais Samia anaipeleka lugha hii kimataifa, "Tunamwita Mama Global" 3. Mafundi wa...
  5. Mtoa Taarifa

    Leo ni kumbukumbu ya miaka 25 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius K Nyerere, unakumbuka nini kuhusu huyu mzee?

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanganyika (baadaye Tanzania), alikuwa kiongozi mwenye ushawishi mkubwa barani Afrika na duniani. Katika kumbukumbu ya miaka 25 ya kifo chake, haya ni mambo 7 muhimu kuhusu Nyerere: 1. Muanzilishi wa Taifa la Tanzania: Nyerere...
  6. Mohamed Said

    Nyerere Day: Maktaba Inavyomuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999)

    NYERERE DAY: MAKTABA INAVYOMUADHIMISHA BABA WA TAIFA Leo ni Nyerere Day. Leo ni siku ya mapumziko. Taifa linamuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Mwalimu Nyerere. Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed...
  7. kavulata

    Mwl. Nyerere alitaka vyama viwili imara vya siasa vishindane kama tunataka tufanikiwe

    Ndoto ya Mwl. Nyerere kukubali vyama vingi vya siasa nchini ni kupata vyama viwili vikubwa vinavyokosoana, kuonyana na kuogopesha kisera katika kuitawala nchi. Hakupenda utitili wa vyama vidogovidogo visivyoweza kuikosoa na kuitikisa CCM katika kuzuia ukabila, umaskini, udini na rushwa. Vyama...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    KERO Julius Kambarage Nyerere International Aiport vyooni hakuna Maji Aibu sana nchi yetu

    Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na...
  9. Bams

    Tanzania ni nchi tajiri ya 'wanasiasa malaya'

    Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa kuna wanasiasa malaya, na akaongeza kuwa wanasiasa malaya wana bei. Ukiifikia bei yake, ananunulika. Ukweli huu wa mwalimu unaishi mpaka leo. Tuna wanasiasa wachache sana wa itikadi, yaani wale ambao liwake jua au inyeshe huwezi kuwaondoa katika kile...
  10. J

    Pre GE2025 Nyerere alipenda kuuliza "Wewe kama Mbunge umewafanyia nini Wananchi hawa waliotuchagua?"

    Siku hizi Wabunge ni wajanja sana kabla hawajaulizwa swali kama hili Wao Ndio huanza kumpamba Rais kwamba yeye Ndio alpha and Omega. Nakumbuka Mwalimu Nyerere alipombabatiza na swali hili mbunge wangu wa Kinondoni Wakati Ule Ndugu Msakandeo. Nyerere: Ndugu Msakandeo tuambie Wewe kama Mbunge...
  11. Mchochezi

    Heri ya siku ya kuzaliwa ukiwa mbinguni Mwl Julius Kambarage Nyerere, angetimiza miaka 102 leo

    Leo ni mfanano wa siku ya kuzaliwa kwa aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere. Kama angelikuwa hai basi leo angekuwa anatimiza miaka 102 yankuzaliwa kwake. Heri ya kuzaliwa kwako Mwl. Julius Kambarage Nyerere
  12. JanguKamaJangu

    Afrika Kusini yaenzi mchango wa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere

    Serikali ya Afrika Kusini imeendelea kutambua na kuuenzi mchango wa Baba wa Taifa la Tanzania, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere katika harakati za kupigania uhuru wa nchi hiyo na bara la Afrika kwa jumla. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, Mhe. Candith...
  13. Mwande na Mndewa

    Nimejiridhisha Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anastahili kuwa Mtakatifu

    Bahati mbaya vijana wengi waliozaliwa mwaka 2000 hawakuwahi kumwona wala kumwelewa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Mimi niliyezaliwa 1980 nilibahatika kidogo nyakati hizo nikiwa shule ya Msingi bungo pale Morogoro,nilipokuwa kiongozi wa chipukizi, nilipeana naye mkono mara moja japo alikuwa...
  14. A

    Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

    Katika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.
  15. Mwande na Mndewa

    Rais yupi amemuenzi Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwenye uongozi unaokidhi matarajio ya Watanzania?

    Nianze kwa ushairi wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ulioandikwa katika kitabu chake cha "Uongozi wetu na hatma ya Tanzania" Ole wake Tanzania Tusipoisaidia Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya,nimeonya tahadhali nimetoa ushauri nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini,namlilia Jaalia...
  16. P

    Nawezaje kumuenzi Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?

    Kama Taifa, leo ni siku maalum ya kumkumbuka Mwal JK Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania aliyefariki dunia mnamo tarehe 14 Oktoba 1999. kuna vitu vingi sana vinatufanya tuendelee kumuenzi kutokana na mchango wake katika kulijenga taifa bora. Haya ni mambo aliyosimamia na ambayo...
  17. Mohamed Said

    Inawezekana vipi Historia ya TANU na Kitabu cha Mwalimu Nyerere viandikwe bila kumtaja Iddi Faiz Mafungo?

    Naamini bila ya chembe ya wasiwasi kuwa kwa sasa historia ya Iddi Faiz Mafungo inafahamika na wengi. Iddi Faiz Mafongo Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika aliyesimamia ukusanyaji wa fedha za safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka wa 1955 na mmoja wa watu...
  18. Mohamed Said

    Omari Mwariko na Historia ya Kifimbo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

  19. I

    JULIUS KAMBARAGE NYERERE GENIOUS OF BONGOLAND

    Huyu mzee ndio GENIOUS SISI LEO TUNAIAHI VIZURI ILA ALIKAA NA WAZUNGU KWA AKILI ZAKE NYINGI AKACHUKUA NCHI ANGEAMUA KUWA DICTATOR ANGEWEZA ILA MIAKILI YAKE NCHI NZIMA TUNA UHUURU WETU RESPECT TO THE FATHER OF THE NATION
  20. Sir robby

    Chuki na uoga wa CCM kwa CHADEMA ni zaidi ya chuki na uoga wa Mkoloni kwa TANU ya Nyerere

    AIBU AIBU Chama kikongwe chenye Miaka 60 Madarakani CCM kinaogopa kukosolewa, kinazuia Mikutano ya Hadhara kinatengeneza Wabunge fake 19 wasio CHAMA Bungeni. Kinateua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa badala ya KUPIGIWA kura kwa hofu ya KUSHINDWA na Chadema (Uchaguzi Serikali za Mitaa 2019)...
Back
Top Bottom