kada wa chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idimulwa

    Mbwana Kombo wa Tanga, kada wa CHADEMA bado hajapata dhamana, inadaiwa Mawakili walinyimwa ushirikiano na Hakimu Moses Maroa

    UPDATES KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA. Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila katika kesi ya Jinai namba 000019759 ya mwaka 2024 ya Jamuhuri dhidi ya Kombo Mbwana Twaha. Leo...
  2. Mystery

    Jeshi la Polisi kukiri kuwa linamshikilia kada wa CHADEMA, Kombo Mbwana, jeshi hilo sasa linapaswa kufumuliwa

    Wajibu namba Moja wa Jeshi letu la Polisi nchini ni kuwalinda raia na Mali zao. Sasa inapotokea Jeshi hilo ndilo linalohusika Kwa kiasi kikubwa na kupotea Kwa raia nchini, wananchi wa nchi hii watakosa kuliamini Jeshi lao la Polisi, jambo ambalo ni la hatari kubwa sana. Siku ya Jana tarehe 14...
  3. Cute Wife

    Polisi yakiri kumshikilia Kada wa CHADEMA Kombo aliyedaiwa kutoweka kwa siku 29!

    Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii. Akizungumza na...
Back
Top Bottom