kada

Alexis Yougouda Kada (born 29 November 1994) is a Cameroonian professional footballer who plays as a midfielder for Moroccan club Maghreb de Fés. In 2013, he made an international appearance for the Cameroon national team.

View More On Wikipedia.org
  1. UTUMISHI: Kugoma kwa baadhi ya kada kwenye maombi ya ajira za TRA

    Wakuu salaam, Nina mdogo wangu kamaliza chuo mwaka 2018, ana bachelor degree ya Business Administration, kashafanya usaili wa Mamlaka ya Mapato mara mbili sasa, cha ajabu leo wakati anaomba kwenye hizi nafasi mpya zilizotangazwa anaambiwa hana "qualifications" za kuomba kada hiyo na kwenye...
  2. Kuvuja kwa mitihani ya muhula wa pili kwa kozi za uuguzi na utabibu; tumebaini chanzo, tutafute suluhu haraka

    Habari JF Mnamo tarehe 15 Oktoba 2021 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) walitangaza matokeo ya awali ( provisional results) ya mitihani ya muhula wa pili iliyofanyika mwezi Agosti , 2021. Katika taarifa...
  3. Huyu dada ni kada wa CHADEMA?

    Tafadhali naomba anieleze anayefahamu. Huyu dada ndiye yule kada wa CHADEMA mtaalamu wa Katiba?
  4. E

    Nimeitwa usahili Utumishi kada ya ICT Officer, naomba hints nikazie wapi

    salam kwenu wana jukwaa. Nimeitwa usaili utumishi next week kada ya ICTO II post ya software developer HESLB. Hii ndo interview yangu yakwanza utumishi nlikua naomba nimepewe hints wapi pakukazia maana naona kama napapasa gizani. Asante
  5. U

    Naomba kama kuna mtu aliwahi fanya Interview Elim Tech Foundation kada ya Research and Statistics

    Habari zenu wakuu kama mada inavyojieleza apo juu naomba msaada nataka kujua maswali yao na vitu vingine navoweza kitana nayo hii ndio interview yangu ya kwanza. Nimetumiwa text message nimeambiw nijibu yes or no km ntakua available j3, kingine anasema inaweza kuwa physically au through Zoom...
  6. Q

    Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia awapa pole CCM kwa kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza

    Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
  7. K

    Kubadili kituo cha kazi kada ya elimu

    Salamu kwenu wanajamvi, Nina dada yangu ni mwalimu wa shule ya msingi huko Iringa Kilolo. Anahitaji kuhama mkoa anaopendelea ni Morogoro. Kama kuna anaejua yeyote anaetaka kuhamia Kilolo hata kama hayuko Morogoro naomba tuwasiliane PM. Shuktlrani
  8. Mradi wa kilimo cha biashara unaojumuisha wasomi wa kada mbali mbali

    Kilimo cha biashara ni njia ya kujitoa katika umasikini. Mtaji katika kilimo hiki ni changamoto kubwa. Wazo lililopo ni kuunganisha nguvu na ujuzi wa watu mbali mbali. Wahitimu wa kilimo, uhandisi, HR, accounts, marketing nk waungane na kuunda kampuni. Eatafute eneo kuanzia heka 20, wa...
  9. 15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

    Kwa kweli nisiwe mnafiki. Niliacha kupenda siasa toka baadhi ya wapinzani kuanza kuunga mkono juhudi za JPM. Marufuku ya siasa ikachangia pia. Utendaji wa hayati nao nikaupenda. Kilichonifanya nisimpende Magufuli baadae ni hali ya mgawanyiko uliokuwa unaendelea nchini. Haya ni Rais wetu JPM...
  10. Ni kada wa CCM nisiyetetea kiongozi, naitetea CCM

    Wanajf, Salaam! Kwa miaka zaidi ya 40 ya umri wangu nimekuwa mwanaccm kindandaki - siku zote pale CCM ilipoaibishwa na baadhi ya viongozi nilisimama imara kushauri, kukosoa na kutoa maoni. Mfano: = Wakati wa fukuto la kundi la akina Kinana kutukanwa na baadhi ya viongozi wa CCM, nilikataa...
  11. Majina ya walimu na watumishi wa kada ya afya waliopata ajira 2021

    Muda wowote kuanzia sasa serikali kupitia kwa katibu mkuu. OR-TAMISEMI itatangaza orodha ya waombaji waliofanikiwa kupata ajira za ualimu na afya 2021. ========= UPDATES=======
  12. Ewe mtumishi hasa Kada ya Ualimu. Je, utakuwemo kwenye wale 70000 waliopandishwa madaraja?

    Kada ya ualimu ndio imebeba idadi kubwa ya watumishi. Mwaka 2015 pekee waliajiriwa walimu wengi sana kwa mkupuo na hao hawalupanda madaraja kwa takribani miaka 6 Sasa taarifa iliyo toka hivi karibuni ni kuwa wamepandishwa watumishi kama sabini elfu hivi. Je, utakuwemo? Pia, sio mbaya kuleta...
  13. Sub-vote code 2208 ni ya kada gani katika utumishi wa umma?

    Habari ndugu zangu! Naomba kufahamu ni Kada ipi katika Utumishi wa Umma ambayo watumishi wake wanatumia sub-vote code 2208. Nakumbuka nilipokuwa mwalimu wa Shule ya Secondary nilitumia sub-vote code 5008 na ilionekana ktk salary slip yangu. Je, sub-vote code 2208 ni ya Kada ipi katika Utumishi...
  14. N

    Tunaotarajia kwenda kufanya interview ya TRA kwa kada za customs officer II na tax management officer II tukutane apa tupeane Tips za writen interview

    Kama tittle ya thread inavojieleza, wale wote tunaotazamia kwenda kupambana kwenye interview ya mamlaka ya mapato Tanzania kwa kada za customs officer II na tax management officer II naomba tupitie apa tupeane tips, techniques,na possible questions za written paper katika usahili uo Naomba...
  15. R

    Serikali angalieni maslahi ya kada nyingine pia, si kila kitu Polisi tu. Kuna Walimu, Madaktari nk

    Nimesoma mahali, serikali ina mpango wa kutoa viwanja vya ujenzi wa nyumba binafsi kwa askari polisi ili wasifedheheke pindi wanapostaafu. Rai yangu ni kwamba hili liende kwa watumishi wote isiwe kwa polisi tu. Hainiingi akili kuwa askari anaelipwa mshahara, posho ya shiling 300,000/, pesa ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…