Hayawiii Hayawiii, Siku Imewadia, Ni mtanange wa Kukata Na Shoka Katika Ya Kagera Sugar na Yanga, Timu hizi Zinakutana zote zikiwa na Wachezaji Wengi Wapya.
Uwanja Mzuri, Teams Nzuri Zikicheza leo Pale Kaitaba Kagera.
Je Timu ya Wananchi Itaanza Vizuri Mchezo wake wa Kwanza Wa Ligi Kuu? Au...