kaizer chiefs

Kaizer Chiefs Football Club (often known as Chiefs) is a South African professional football club based in Naturena that plays in the Premier Soccer League. The team is nicknamed Amakhosi which means "Lords" or "Chiefs" in Zulu, the Phefeni Glamour Boys'. Chiefs have won 12 league titles (four in the PSL era) and over 50 club trophies. They hold the most trophies amongst the other clubs in the PSL and are the most supported club in the country, drawing an average home attendance of 14,873 in the 2018/2019 season, the second-highest in the league. The team plays its home matches at FNB Stadium.
The team has a strong local rivalry with Orlando Pirates, a fellow Soweto team which Chiefs founder Kaizer Motaung played for in his early playing career. Famous players who donned the black and gold jersey in the past include former national team captains Neil Tovey, Lucas Radebe and also Patrick Ntsoelengoe, Gary Bailey, John "Shoes" Moshoeu, Shaun Bartlett, Steve Komphela, Siyabonga Nomvete, and Doctor Khumalo.Chiefs were banned by the African Football (CAF) from competing in African club competitions until 2009 after their abrupt withdrawal from the 2005 CAF Confederation Cup. This was the second time in four years that Chiefs had been penalized by CAF for refusal to participate in a competition.
It is the most supported team in sub-Saharan Africa with a support base of over 16,000,000 fans. In January 2020, the Chiefs celebrated their 50th anniversary.Kaiser Chiefs, a British indie/britpop band, was named after the club because Lucas Radebe, a former player of Kaizer Chiefs, captained Leeds United, the team the band members all supported.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Japo wenye Maono ya Kimpira tulisema tumeshatoka, ila yafuatayo kadhaa yamechangia kabisa Kaizer Chiefs FC Kufuzu kwa Aggregate ya 4 - 3

    Kwanza nianze kwa Kuipongeza Simba SC kwa Kufa Kiume kwa leo nayo Kushinda Goli 3 kwa 0 japo tumetolewa kwa Kanuni ila hatujafungwa bali wote tumeshinda katika nchi zetu. Hata hivyo kwa Maoni yangu kutokana na Jicho langu la Kimpira na Mtazamo wake baada ya Kuungalia mpira wote kuna Mapungufu...
  2. Chizi Maarifa

    Tunawashukuru Kaizer Chiefs kwa Ushirikiano. Simba hatafuzu hata akisaidiwa kucheza na Mitume

    Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia hapa leo. Nipo tayari kupigwa Ban ya mwezi mzima. HAIWEZEKANI SIMBA KUFUZU HATA WALETE MIZIMU WACHEZE...
  3. Erythrocyte

    Bila Barakoa hutaruhusiwa kuwaona Simba na Kaizer Chiefs

    Ni vema mkalijua hilo mapema
  4. GENTAMYCINE

    Je, umesikia nini cha nje ya Uwanja (Kamati za Umafia na Uchawi) kuelekeaa 'Mtanange' wa leo wa Simba SC na Kaizer Chiefs FC?

    Nilizonazo hadi Asubuhi hii ni kwamba Wachezaji wa Kaizer Chiefs FC Usiku hawakulala Mbezi Beach bali wamelala Ubalozini Kwao na kule Hotelini Mbezi Beach wamebaki wale wasiocheza leo. Nilizonazo hadi Asubuhi hii ni kwamba kuna aliyekuwa Kiongozi Mmoja wa Simba SC (sasa yupo Yanga SC) kwa...
  5. KAGAMEE

    Uchawi wa Kaiza Chiefs

    Muda unasonga sana magoli yanakaribia kujaa kikapu.Wengi wanasema Kaizer waliloga kwao hivyo Simba lazima walipize kwa Mkapa.Msemaji wao ameenda mbali zaidi na kusema kesho mtu anakula mkono as is atacheza. Baada ya kipigo kikali wanasimba wote na viongozi wao wameelekeza nguvu zao kwa masangoma...
  6. J

    Simba imefanikiwa kupata nyani (seng'wa) mwenye vidole 5 mguu wa kulia na 4 mguu wa kushoto milima ya Uluguru, Simba 5 Kaizer Chiefs 0!

    Game imeisha Simba inaelekea nusu fainali kwa mbinu ile ile waliyoitumia kuwatoa Mufulira Wonders ya Zambia kwenye mtanange unaofanana kwa 100% na huu. Hatimaye Simba wamempata nyani kama yule wa wakati ule aliyefanikisha ushindi ule. Safari hii shukrani za pekee zimwendee babu tale wa...
  7. Erythrocyte

    Video: Mbinu za Kimila za kuiangusha Kaizer Chiefs zaanza kutumika

  8. M

    ANALYSIS: Kaizer Chiefs 4 - 0 SIMBA: Hunt's tactics bamboozle Gomez

    KAZIER CHIEFS 4 – 0 SIMBA: GAVIN HUNT’S 5-2-3 BAMBOOZLES GOMEZ Once in a while you watch a match that is tactically fascinating that its tactical lessons stick with you for a lifetime. This was such a match. With Chiefs floundering in their domestic league and Simba high on confidence after...
  9. GENTAMYCINE

    Tukimaliza Kuicheka Simba SC Kufungwa na Kaizer Chiefs FC tusisahau kuwa nasi huku VPL tunaharibu na Azam FC hao wanakuja kutupita

    Kisaikolojia Kumcheka Adui yako Mkubwa kwa Kuanguka ( Kufeli ) Kwake huwa ni Jambo la Kawaida ila halijawahi kuwa Suluhisho la kumaliza Matatizo yako ya kudumu uliyonayo. Tunawacheka Simba SC kwa Kipigo cha Kufungwa Magoli Manne ( 4 ) na Kaizer Chiefs FC juzi ila tusijisahaulishe kuwa nasi huku...
  10. GENTAMYCINE

    Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

    Najua kuanzia sasa nguvu Kubwa ya Kupindua Meza (kwa Fitna za nje ya Uwanja) zitaanza Kutumika ili Kuwafunga Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo huku tukidanganywa sana kuhusu uwezo wa Timu yetu na Kuaminishwa mno na Kauli Mbiu za Kibabe za Kuujaza Uwanja ili Mapato yapatikane wakati wenye Kuujua...
  11. Mshana Jr

    Rekodi za Yanga dhidi ya Kaizer na wengine

    Maandishi hayafutiki wala hayaongopi, hii ndio historia ya UTOPOLO FC kwa timu za nje. Sasa wanapomcheka na kumbeza mnyama wanajifariji tu.
  12. KAGAMEE

    Mapendekezo ya slogan dhidi ya Kaizer Chiefs

    Habari wanamichezo na wapenda soka kwa ujumla. Poleni kwa yaliyoikuta Nchi yetu huko kwa kwa Makaburu. Jumamosi ni siku ambayo tutaenda kuishangaza dunia kwa kuichakaza vibaya mno Kaizer siyo (lazima uamini)lakini ipo hvyo. Last time tulikuwa na Slogan WAR IN DAR, POINT OF NO RETURN na zingne...
  13. denooJ

    Hawa Kaizer Chiefs wana watu na uchumi wanao

    Lile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu. Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000 Thamani ya timu yao kwa ujumla...
  14. N

    Story ya kuuza mechi ya Simba Cairo na mkasa wa Shafii Dauda. Zimbwe jr, Kapombe vs Kaizer Chiefs

    2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,gutti kwenye club bingwa ya dunia Marahemu james siang'a mkenya aliyekuwa kocha wa simba anasema kuna mtanzania mwenye asili ya kiasia...
  15. M

    Bora nichukiwe na Wana Simba SC ila ukweli huu Mchungu uliochangia Kipigo Kitakatifu cha Mzulu na Mkaburu Kaizer Chiefs FC niuseme

    Kama Mwamamichezo Halisi ( japo sijifichi ni mwana Simba SC ) nianze kwa Kuwapongeza Kaizer Chiefs FC kwa Ushindi wa Goli Nne na niwape pia Pole Simba SC kwa Kufungwa Mchezo huu wa Kwanza leo. Zifuatazo ni sababu zangu Binafsi za Kiuchambuzi Mimi Krav Maga kwanini Simba SC tumefungwa na Kaizer...
  16. Ghazwat

    FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

    Timu mbili kutoka Nchi marafiki, Afrika Kusini na Tanzania zinakutana leo Jumamosi ya Mei 15, 2021 kwenye uwanja wa kwanza Afrika kuchezwa fainali za Kombe la Dunia, ambapo Kaizer Chiefs wanakabiliana na Simba SC katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika, mchezo...
  17. OKW BOBAN SUNZU

    FT Kaizer Chiefs 1-1 Swallows,Ligi Kuu ya Sauzi

  18. OKW BOBAN SUNZU

    Kaizer Chiefs hali mbaya, anaweza kucheza playoff

    Acha na stori za Yanga na serikali ya kiujanja-ujanja. Twende tumzungumzie mpinzani wa Simba Sc robo fainali. Hii timu ina hali ngumu sana na kuna kila dalili za kucheza playoff ili ibaki ligi kuu. Yeye na timu ya pili kutoka mwisho wanapishana point 5 tu. Kocha wao amewaambia mashabiki waache...
Back
Top Bottom