Kalambo District is one of the four districts of the Rukwa Region of Tanzania, East Africa. The administrative seat is in Matai. The Kalambo River flows through the district and its mouth on Lake Tanganyika is about 15 km south of the town of Kasanga.
Kalambo District Council was officially established on 23 December 2012 after it was split off from the Sumbawanga District Council. Moshi Chang'a was the first District Commissioner, who served until his death in an auto accident in April 2014.
According to the 2022 Tanzania National Census, the population of Igunga District was 316,783 in 2022.
Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa kushirikina na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi msaada wa vitenge 200 kwa wanawake wajawazito katika Hosptali ya Wilaya ya Kalambo na vituo vya kutolea huduma za afya kama sehemu ya kurejesha faida kwa wananchi.
Mkuu wa Wilaya...
Mkoa wa Rukwa ulianzishwa mwaka 1974 baada ya kugawanywa kutoka mikoa ya Tabora (Mpanda) na Mbeya (Sumbawanga). Mwezi Julai 2010, Serikali ya Awamu ya Nne iligawa Mkoa wa Rukwa na kuanzisha Mkoa mpya wa Katavi.
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.