kamala

Kamala Devi Harris ( KAH-mə-lə DAY-vee; born October 20, 1964) is an American politician and attorney who is the 49th and incumbent vice president of the United States under President Joe Biden. She is the first female vice president and the highest-ranking female official in U.S. history, as well as the first African-American and first Asian-American vice president. A member of the Democratic Party, she was previously attorney general of California from 2011 to 2017 and a U.S. senator from California from 2017 to 2021.
Born in Oakland, California, Harris graduated from Howard University and the University of California, Hastings College of the Law. She began her career in the office of the district attorney (DA) of Alameda County, before being recruited to the San Francisco DA's Office and later the City Attorney of San Francisco's office. In 2003, she was elected DA of San Francisco. She was elected AG of California in 2010 and re-elected in 2014. Harris served as the junior U.S. senator from California from 2017 to 2021; she defeated Loretta Sanchez in the 2016 Senate election to become the second African-American woman and the first South Asian American to serve in the U.S. Senate. As a senator, she advocated for healthcare reform, federal de-scheduling of cannabis, a path to citizenship for undocumented immigrants, the DREAM Act, a ban on assault weapons, and progressive tax reform. She gained a national profile for her pointed questioning of Trump administration officials during Senate hearings, including Trump's second Supreme Court nominee, Brett Kavanaugh, who was accused of sexual assault.Harris sought the 2020 Democratic presidential nomination, but withdrew from the race prior to the primaries. She was selected by Joe Biden to be his running mate, and their ticket went on to defeat the then incumbent president and vice president, Donald Trump and Mike Pence, in the 2020 election. Harris and Biden were inaugurated on January 20, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Video: Trump alikuwa ni mwiba kwa Putin Ndio maana Putin anaombea Kamala achaguliwe

    Trump alikuwa ni mwiba mchungu sana kwa Putin Video hiyo inamuonyesha Trump akiwakaripia ujerumani kwenye mkutano wa NATO (umoja wa majeshi ya Marekani na Ulaya) waliposaini mkataba wa mabilioni ya dola kila mwaka kunuanua gesi inayotoka Urusi wakati ni adui wa Nato, Kilichomuudhi ni kwamba...
  2. B

    Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

    Hii ndiyo ile maana kamili ya vyama kutokuwa mama wa waungwana: Uwaambie nini wale chawa kindaki ndaki wa pande za kwetu? Kwamba hayapo wanayosimamia ila vyama.
  3. Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

    Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa. Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris...
  4. Je, Trump kaanza kupata kiwewe dhidi ya mwanamama Kamala ?

    Kuelekea uchaguzi wa marekani, Donald Trump aanza propaganda za ukomunisti dhidi ya Kamala Harris. Kama unavyojua marekani na ukomunisti ni paka na panya. Je, Trump anatumia kete ya ukomunisti mitandaoni kumuondolea imani Kamala kwa wamarekani ? Au vijembe tu vya kisiasa ?
  5. G

    Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

    Kamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very charismatic, connected, n.k. Kamala amekuwa akiegemea zaidi kutumia ngozi, mqjuzi kwenye moja ya...
  6. J

    Kamala Harris kuchaguliwa Rais wa 47 wa America, ni ukweli usiopingika kwa sasa

    Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr. Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau...
  7. J

    President Kamala Harris is a vert real possibility

    Following President JoeBiden dropping out of the presidential race and Kamala Harris replacing him, we have seen opinion polls numbers pointing in favor of the democrats. My take is that this woman will emerge winner in November. I say this basing on the new momentum she's injected in her party...
  8. Tim Walz Gavana wa Minesota ateuliwa kuwa Mgombea Mwenza wa Kamala Harris

    Tim Wallz ameteuliwa kuwa mgombea mwenza na Kamala Harris. Safari hii naona Progressives wameangaliwa😁 --- Vice President Kamala Harris has chosen Minnesota Gov. Tim Walz to serve as her running mate in the 2024 presidential race—as Harris tries to gain ground on former President Donald Trump...
  9. Marekani: Trump na Kamala watofautiana kuhusu Mdahalo

    Trump na Kamala Harris wanatofautiana kuhusu Siku ya Mdahalo wa Urais. Timu ya Kamala inataka Septemba 10 katika Studio za ABC, huku Timu ya Trump ikitaka ufanyike Septemba 4 katika Studio za Fox Tangu Biden ajiengue, Trump amekuwa hana msimamo kuhusu iwapo atashiriki mdahalo huo ambapo awali...
  10. Like Hillary Clinton, Like Kamala Harris: Opinion Polls are Unrealistic

    Like Hillary Clinton, Like Kamala Harris: Opinion Polls are Unrealistic In American politics, few tools are as widely discussed and scrutinized as opinion polls. These surveys, intended to gauge public sentiment and predict election outcomes, often become central narratives in political...
  11. Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

    Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat. Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden...
  12. Trump hashindi, kigezo ni kilekile uzee

    Uchaguzi wa USA haujawahi kuwa mwepesi. Republican na Democrat kwenye siasa za Marekani ni kama dini. Wanamchi wa Marekani hata kama utasimamisha jiwe kwenye hivyo vyama bado watalipigia kura. Raisi Biden pamoja na udhaifu wa kiafya alizidiwa na Trump 2 % tu. Bado karibia nusa ya raia walikuwa...
  13. Joe Biden amuunga mkono Kamala Harris kuwania Urais, Marekani kupata Rais wa kwanza mwanamke?

    Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats! Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton? Pia, soma=>...
  14. DKt. Nchimbi: Wasiotimiza wajibu wao, wabinafsi, siku zao zinahesabika

    Awataka wanaosuasua kukaza buti Asema anaweza kula kiapo, Kamala alichukia rushwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amewatahadharisha viongozi wote wanaotokana na CCM wasiotimiza wajibu wao kuwatumikia watu, kwa kadri ya matarajio ya Chama na wananchi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…