Sera kuu...kula kwa urefu wa kamba....wanyonge tutasubiri sana😢
Ukiendelea kung'ang'ania kuwa chumvi ni chumvi tu na siyo sukari, subiri tu kutupwa ubalozini.👨🏿🦯
Hii sera ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake haijawahi kuondolewa wala kukanushwa, ndiyo maana wengine wanavimbiwa na kujisahau.😢