kamba

Kamba, or Kikamba, is a Bantu language spoken by millions of Kamba people, primarily in Kenya, as well as thousands of people in Uganda, Tanzania, and elsewhere. In Kenya, Kamba is generally spoken in four counties: Machakos, Kitui, Makueni, and Kwale. The Machakos dialect is considered the standard variety and has been used in translation. The other major dialect is Kitui.Kamba has lexical similarities to other Bantu languages such as Kikuyu, Meru, and Embu.

The Swedish National Museums of World Culture holds field recordings of kamba language made by Swedish ethnographer Gerhard Lindblom in 1911–12. Lindblom used phonograph cylinders to record songs along with other means of documentation in writing and photography. He also gathered objects, and later presented his work in The Akamba in British East Africa (1916).

View More On Wikipedia.org
  1. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Habari wadau, Bado naendelea kutafuta masoko ya kamba za katani. Bei ziko vizuri. Kwa mwenye kufahamu/uhitaji tafadhali tuwasiliane.
  2. Jamsojamaal

    Kamba za katani, Twines & Ropes

    Bado natafuta soko la Kamba za katani. Mwenye kufahamu soko ama mwenye uhitaji tafadhali tuwasiliane.
  3. MK254

    Putin ajisahau na kukiri kwamba Urusi inapitia kipindi kigumu kwenye teknolojia

    Sijui kwa bahati mbaya au amekiri kimaksudi, maana kila siku huwa anabwatuka mikwara jinsi atabonyeza manyuklia yake. ===== Vladimir Putin has admitted Russia is facing “colossal” technology problems due to the world’s biggest entertainment brands ceasing operations in the country. But the...
  4. Jamsojamaal

    Mwenye kujua soko la kamba za katani

    Mwenye kujua soko zuri la kamba za katani, tafadhali naomba msaada. Na tuwasiliane
  5. Samatime Magari

    Mark 2 Grande Gx 110 aka Jini Mkata Kamba

    . Hii ni moja ya sedan za Toyota nzuri kuwahi kutokea, huyu na Crown ni kama wanashare Baba sema Mama tofauti, Hii ndo zile gari unasikiaga zinakopa speed yani zinafika 180 hafu mshale unaenda mbele zaidi, kaa vizuri ule madini.. . Mark II kama Mark II ina generation 9 ni gari flani old school...
  6. L

    Shindano la kutembea kwenye kamba katika urefu wa juu wa zaidi ya mita 200 angani lafanyika Zhangjiajie, China

    Shindano la kutembea kwenye kamba angani limefanyika katika Bustani ya Kitaifa ya Misitu ya Huangshizhai huko Zhangjiajie, China. Watu 10 wameshindana kwa kutembea juu ya kamba kwa urefu wa juu wa zaidi ya mita 200 angani.
  7. Kulupango

    Vyuma vya kuanikia nguo na kamba zake vinauzwa 20,000

    ,
  8. Rebeca 83

    Kuleni ila kwa urefu wa kamba zenu: Is she guilty or not?

    Hello Great Thinkers, Hii sentensi ya Mama ilileta confusion kwa wengi. Wengi, walidhani Mama amemaanisha sasa Mafisadi ruhusa kuvuna. Kiukweli mimi nadhani alikuwa anamaanisha kitu tofauti. At that moment labda alikuwa amejua jinsi 'wenzie; walivyokula kushinda Urefu wa Kamba zao...lol...
  9. M

    Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

    Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi. Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga. Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
  10. KENZY

    Ulisema "kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake!" Una habari Kuna mbuzi wana kamba moja tu!

    Ndio tumekubali tutakula kwa urefu wa kamba zetu,lakini unajua Kuna mbuzi wanakamba moja tu..? Wewe unakamba nyingi na nyengine wawezakuwa umezisahau ila zipo!.. sikufundishi ila sijui umewawaza wenye kamba moja..? Kula,kunywa,Kodi,usafiri na gharama zao zote za maisha hutegemea kamba hiyo...
  11. Meneja Wa Makampuni

    Proved: Bongo bila kukata kamba hutoboi

    Wakuu huu ukweli uwaweke huru. "Bongo bila kukata kamba hutoboi"
  12. Msanii

    CCM Temeke ndani ya Kashfa nzito

    Taarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa...
  13. D

    Hivi ndivyo wanavyoishi kwa urefu wa kamba zao.

    Kuna ukuta mnene Sana Kati ya yanayosema na yanayofanyika.
  14. Peramiho yetu

    Kuleni kadiri ya urefu wa kamba zenu

    Nadhani madhara ya kauli hii mama unaiona sasa Huko Mtwara askari wamefanya vile ulivyowaeleza wamekula na kuua lakini wakauana Uchifu hauna tija katika zama hizi kama ungekuwa na tija Marekani na Ulaya wangekuwa wanaendelea nao Ushauri tu tatua kero za wananchi achana na tuvitu ambavyo...
Back
Top Bottom