kamera

The Goldene Kamera (English: Golden Camera) is an annual German film and television award, awarded by the Funke Mediengruppe. The award show (Verleihung der Goldenen Kamera) is usually held in early February in Hamburg, but has also taken place in Berlin in the past.The gold-plated silver award model was created by Berlin artist Wolfram Beck. It is 25 centimetres (9.8 in) high and weighs around 900 grams (2.0 lb).

View More On Wikipedia.org
  1. Chagu wa Malunde

    Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake imetufumbua macho. Mahojiano ya polisi na watuhumiwa yawe yanarekodiwa

    Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha. Kesi ya...
  2. The Sheriff

    Dodoma: Serikali kufunga kamera za usalama maeneo mbalimbali ili kupunguza uhalifu

    Serikali imedhamiria kufunga kamera za usalama katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma kwa lengo la kupunguza uhalifu ambao umeanza kushamiri katika maeneo ya jiji hilo baada ya Serikali kuhamia Dodoma huku wimbi la watu likichagiza hali hiyo ya uhalifu. Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa...
  3. D

    Wataalamu wa Kamera na upigaji picha

    Habari wakuu. Nina Camera aina ya Canon EOS T4i 650D. Mimi si mtaalamu wa Kamera. Tatizo langu ni pale ninapochukua Video kila inapofika Dakika 30 inajizima automatic na nikitaka kuendelea kuchukua video inabidi nibonyeze tena. Mwanzoni nilihisi labda card ni ndogo nilikua natumia 32GB...
  4. and 300

    Uwe maarufu au la, usijifanye una hela wakati huna! Utakuja umbuka msibani

    Unajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, unaishi apartment kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki, mke elimu Hana Zaid ya kuuza sura. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera! ***Msibani watu wanalia kwa mengi (aibu/fedheha mixer huzuni).
  5. Y

    Ushauri: Kati ya nyaya za umeme kuzunguka nyumba (electric fence) na kamera za ulinzi (CCTV camera) ipi inafaa kwa matumizi ya nyumbani?

    Salaam wadau. Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina. JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali...
  6. Miss Zomboko

    Facebook yashtakiwa tena ikituhumiwa kuingilia faragha za watumiaji wa Istagram kupitia kamera za simu

    Kampuni ya Facebook imeshtakiwa kwa tuhuma za kuwafuatilia watuamiaji wa Instagram kwa kutumia kamera za simu zao bila ridhaa ya watumiaji. Facebook imekanusha tuhuma hizo na kueleza kuwa kulikuwa na hitilafu ya programu (bug) ambayo inairekebisha. Imesema kuwa ‘bug’ hiyo ilikuwa ikitoa taarifa...
  7. Askari wa motoni

    INAUZWA Kamera aina ya canon 600d kwa laki 4 na nusu offer

    Haina tatizo Ina betri lake Lenz 18_55mm Mawasiliano. 0757 936 699 Dar es salam, Kinondoni .
  8. Analogia Malenga

    Magereza yote kuwekwa vifaa vya upekuzi, CCTV

    JESHI la Magereza linakusudia kuongeza vifaa vya upekuzi magerezani na kufunga kamera za usalama za CCTV, ili kubaini vitendo viovu vinavyofanyika ndani ya magereza hayo. Hayo yalisemwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati ikijibu swali la Mbunge Viti Maalumu, Rukia Kassim Ahmed (CUF)...
  9. TECNO Tanzania

    Tecno spark 5, simu yenye kamera 5 kuzinduliwa

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, inatarajia kuzindua simu yake mpya aina ya TECNO SPARK 5 yenye kamera 5 Ijumaa hii kwa njia ya mtandao, ikiwa ni mara ya pili kuzindua kwa njia hiyo ya mtandao ambayo kwa mara ya kwanza ilitanguliwa na TECNO CAMON 15. Akizungumza kwa njia ya simu leo jijini...
Back
Top Bottom