Banzukulu nawasalimu kwa jina la Mungu Baba.
Nianze moja kwa moja na maudhui, katika hali ya kushangaza Uganda hasa katika jiji la kampala kumetokea milipuko iliyopewa jina la milipuko ya magaidi iliosababisha vifo kadhaa na majeruhi katika makumi, katika siasa za kikanda ulinzi wa pamoja na...
Jumanne 16, Novemba 2021, zilisambaa picha katika mitandao ya kijamii zikionesha mlipuko uliotokea katikati ya mji mkuu wa Uganda Kampala. Taarifa kutoka katika mamlaka nchini humo zimeeleza kuwa kilichotokea tukio la kujitoa mhanga katika maeneo mawili tofauti. Moja ya mlipuko huo ulitokea...
President Museveni Tuesday said the terrorists have exposed themselves at a time when Uganda’s security infrastructure has improved, compared to what it was in 2018 when he made the speech to Parliament.
Mr Museveni further said the terrorists who blew themselves up near the Central Police...
Police have said the twin explosions that hit Kampala at a police checkpoint and Parliamentary Avenue on Tuesday were carried out by three suicide bombers who died on spot.
Police also said three other Ugandans had been confirmed dead and 33 three others injured, although the number of...
Salaam Wakuu,
Leo Milipuko Miwili ya mabomu imetokea jijini Kampala.
Wabunge watawanyia kuokoa maisha.
Wabunge wa bunge la Uganda wakiwa nje ya jengo baada ya Mlipuko kutokea Jijini Kampala. Kila mtu anaokoa maisha yake
Polisi nchini Uganda inawashikilia wahudumu wawili wa afya kwa madai ya kuhusika kuwachoma takriban watu 800 chanjo feki za corona mwezi uliopita.
Mtu mmoja, ambaye ni daktari, anatafutwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika kuwachoma watu hao chanjo katika mji wa Kampala kati ya Mei 15 na Juni 17...
Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar...
Najua kwa sasa machafuko ya huko Msumbiji yanakukosesha usingizi, ukizingatia ukaribu wa Taifa letu na maeneo ambayo Majeshi ya Serikali ya Msumbiji yameshindwa kudhibiti hao tunaombiwa ni magaidi.
Mimi naomba nikutie moyo, hofu yako ni sahihi, na ninakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe busara za...
Rais Samia Sukuhu Hassan amewasili Kampala nchini Uganda na kupoke!ewa na Rais Yoweri Museveni.
Watu wote akiwemo Rais Samia wamevalia barakoa
Tukio liko mubashara TBC!
MTV Base Africa leo wametangaza kusitisha tuzo za MAMAs ambazo zilikua zifanyike 20 mwezi huu nchini Uganda.
Ikumbukwe tarehe 14 mwezi wa kwanza Uganda ilikua na uchaguzi wa Urais ambako Museveni alishinda lakini watu walidai uchaguzi haukua wa haki.
Dj maarufu duniani ambaye ni Dj Khaled na...
KAMPALA- Polisi bado wanaendelea kutafuta watu ambao wanaaminika kufunikwa na kifusi kwenye jengo lililo anguka maeneo ya Makindye jijini Kampala Ijumaa ya Septemba 11 ,2020 majira ya saa mbili usiku.
Mtu mmoja aliyefahamika kama Godfrey Oonyu ambaye ni mwalimu aliyekua akifanya kazi katika...
Tulizunguka sana. Arua, Kasese, portfot na kwingine kabla ya kufika Kampala. Swali ni kwanini tulizunguka sana badala ya kukatisha tu na kufika hapo kampala na kumtimua huyu nduli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.