kamwe

Kamwe also spelt Kamue) is a Chadic language autochthonous to Adamawa State, Borno State of Nigeria and North Western Cameroon.
In Nigeria about 80 percent of the Kamwe people are found in Michika Local Government Area of Adamawa State, Nigeria. They are also found in Mubi North, Hong, Gombi, Song and Madagali local governments in Adamawa State. The Kamwe people are also found in Borno State, especially in Askira/Uba and Gwoza local government areas
Blench (2019) lists Mukta of Mukta village, Adamawa State as part of the Kamwe cluster.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Ali Kamwe: Tumebadili mtindo wa Kutambulisha Wachezaji wetu wakitua nchini kwakuwa kuna Timu ina Kijicho nao na Kuwamaliza

    "Hatutambulishi tena Wachezaji wetu wa Kigeni wakitua tu Uwanjani kama zamani kwani kuna Timu moja ina Jicho la Husuda huwa inawamaliza Kimpira" msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe. Chanzo: Sports Bundle ya U-FM jana Saa 3 Asubuhi. Kudadadeki zenu na hata huyu mpya nae tutamroga zaidi ya Hafidh Konkon
  2. C

    Ahmed Ally kwani nawe huwezi kuchambua mpira kama ali kamwe tunayemsikia sasa ufm akichambua mechi za afcon?

    wewe bung'aa bung'aa tu na ukomedi wako wa kila ukihojiwa wakati mwenzako ali kamwe kuna value fulani hivi anaiongeza na credits kadhaa kuzipata kwa sasa kuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano ya afcon kwa kualikwa na azam media / ufm
  3. L

    Nchi haiwezi kamwe kuwa na viongozi wazuri toka kizazi hiki, kama HESLB wamekuwa miungu watu!

    Ni mbaya sana. Yaani semester ya kwanza vyuoni inamalizika lakini watoto wengi wale waliopata mikopo batch ya mwisho hawajapata. Watoto hawa wamekuwa wakiingia na kutoka Ofisi za Maafisa Mikopo vyuoni na hata kwenye Ofisi zao hao HESLB lakini hawasaidiwi chochote. Imeniskitisha nimekutana na...
  4. kavulata

    Ally Kamwe ametuelewa bado Ahmed Ally

    Simba na Yanga ni timu kubwa zenye wafuasi wengi wenye hadhi tofautitofauti, zinahitaji wasemaji mahiri sio wasema chochote wanachojisikia wao hata kama hakina maana wala uhalisia. Hata kama ni utani lakini unawezaje kusema Yanga woooote hawana akili isipokuwa watu wawili tu kwenye timu ambayo...
  5. BANENI TOM

    Eng Hersi Tangu awe Rais vilabu barani Afrika pamoja na kujihusisha na sera za CCM, Yanga inaelekea kuzama na haitoibuka kamwe!

    Poleni Young Africans lakini huo ndiyo ukweli ambao wengi wenu hawataki kuusikia kamwe!. Msimu huu wa Mwaka 2023/2024 Bingwa wa ligi ya NBC ni AZAM SPORTS CLUB!. Naomba kama kuna mtu anabisha kuhusu hili suala awake pesa ili tusibishane kwa maneno!.Ndugu zangu mimi ni shabiki lialia wa Mnyama...
  6. MamaSamia2025

    Kwa aina hii ya uwekezaji kamwe Afrika haitasonga mbele

    Leo mtandaoni nimeona kumepostiwa picha za jengo jipya la kimataifa la kuabudia (International worship centre) huko jimbo la Ikwa Ibom, Nigeria. Ni jengo linalotajwa kugharimu zaidi ya naira bilioni 20. Kwangu mimi huu ni uwendawazimu. Afrika inahitaji viwanda, vyuo vya ufundi, hospitali na...
  7. GENTAMYCINE

    Kwanini Wanaume Wakichiti hujulikana upesi na Wanawake zao, ila Wanawake Wakichiti kamwe Wanaume hawagundui?

    Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume. Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda...
  8. Mhaya

    Vitu 3 ambavyo kamwe kijana hutakiwi kuvifanya

    Narudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya: 1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako. 2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira. 3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani. Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi...
  9. andremg10

    Kamwe usikate tamaa

    Nimeona kushare na wanaJF
  10. Ritz

    The Guardian: Israel inapoteza vita dhidi ya Hamas lakini Netanyahu na serikali yake kamwe hawataki kukubali

    Wanakumbi. Siku kumi zilizopita, kiongozi mkuu wa kila siku wa Israeli, Yedioth Ahronoth, alichapisha habari zilizopatikana kutoka kwa idara ya urekebishaji ya wizara ya ulinzi. Mkuu wa idara hiyo, Limor Luria, aliripotiwa kusema kuwa zaidi ya wanajeshi 2,000 wa IDF wameandikishwa kuwa walemavu...
  11. Pleasepast

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa. Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo...
  12. jingalao

    Nyakati ngumu mbele yetu ila tusikubali kurudi nyuma kamwe!

    Wasalaamu wadau wa JF, Kama taifa zipo nyakati tutapaswa kuzipitia zipo nyakati ngumu tutapaswa kuzipitia. yapo ya kujitolea na wapo wa kujitolea kama wana Taifa ili tu Taifa lisonge mbele. Ipo hivyo na itaendelea kuwa hivyo! Cha muhimu na muhimu zaidi ni kuendelea kujitolea kwani tunayo...
  13. C

    Sawa Ali Kamwe katuambia tarehe 2/12/2023 tuvae Kanzu na Misuli ila tuuzingatie na huu Ushauri wa Alex Luambano

    "Niwaombe tu wana yanga sc kuwa pamoja na kuambiwa na msemaji wao Ali Kamwe kuwa jumamosi watakapocheza na al ahly wavalie kanzu na misuli ila mimi naongezea kwakuwa wanacheza na waarabu (Al Ahly sc) ambao hawana masihara basi wahakikishe wanavalia na bukta kwa ndani kwani mwarabu si mtu mzuri"...
  14. GUSA ACHIA BAHASHA GOLI

    Ombi kwa Ali Kamwe

    Sisi wakazi wa bunju tunaomba utuwekee bango letu la matokeo ya mechi yetu kati ya Belouzdad na Yanga pale mlipoweka bango la mwanzo. Pia msiwasahau na wale watu wa manzese pamoja na marudio ya mechi ya leo. Asante sana
  15. Objective football

    Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

    Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna. Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali...
  16. Ghost boss

    Mungu siyo mtumwa wako, hafanyi kamwe mapenzi yako

    Hakuna anayeishi kwa ajili yake “Mungu wangu, mungu wangu mbona umeniacha”, hii ni kauli ya Yesu alipokuwa msalabani anakaribia kufa, na muda mchache baadaye Yesu alikufa, kumbuka kama yasemavyo maandiko, 'Ndani yake yeye sisi tunaishi, tunajimudu, na tuko". Mungu sio Mungu wa wafu ni Mungu wa...
  17. GENTAMYCINE

    Kwa Mwili ule wa Kimbaumbau wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kumpeleka katika Oparesheni Kamata Jezi ni Kumhatarishia tu Maisha yake

    Tafadhali nawaomba Siku zingine msirudie tena au kama mnapenda awe anatumika katika Oparesheni zenu basi anzeni Kumlisha vyema ( Balance Diet ) ili Mwili wake uongezeke na mpeni Ratiba maalum ya kwenda Gym Kuujenga na Kuukomaza Mwili wake akienda tena katika Oparesheni zingine asiwe anapepesuka...
  18. S

    Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

    Habari Pasipo kupoteza muda, Hii elimu huwezi kuambiwa popote darasani, lakini kutokana na kazi zangu za kiufundi mimi Fundi SAMICO nimejifunza mambo mengi mno kuhusu hii dunia. Wakati dunia ikiumbwa kila kitu kilisetiwa mahala pake. Wakati mabara yakimeguka na kutengana yalimegwa kwa mpango...
  19. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo baada ya Kichapo ndiyo unajua kuwa Ligi ni Marathon?

    "Ligi Kuu ni Marathon hivyo bado Michezo iko mingi na huu wa leo ndiyo Kwanza wa Nne hivyo msiwe na wasiwasi" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe akiongea na Waandishi wa Habari baada ya Kichapo cha Mbarali leo. Hivi Wewe Ali Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) na wana Yanga SC Wenzako ukiongozwa...
  20. F

    Wazazi kamwe msiwaruhusu watoto wenu kuangalia filamu za kutisha (zombie & violent movies), kuna mkakati hatari wa shetani kwenye movie hizi!

    Same. Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Majengo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro Brian Elisha Godson (12) amejiua kwa kujinyonga akitaka kuigiza kama filamu ya kujinyonga aliyoipenda kuiangalia akiamini hatakufa. Godson anadaiwa kufanya jaribio hilo kwa kujinyonga na shuka saa 12...
Back
Top Bottom