Ndugu Wanajamvi,
Nimepata tatizo kuhusiana na Airtel Money siku ya ijumaa, na nipo kijijini. Lakini kila nikipiga huduma kwa wateja namba 100 ili niwaeleze tatizo langu hawapatikani.
Chakujiuliza ni kwamba, inawezekanaje mitandao mkubwa wa mawasiliano wakakosa namba ya simu ya kuwahudumia wateja?