Nilimsikia Padre Kitime , akiongelea suala la Bandari , alisema siku za nyuma Rais hayati Benjamin Mkapa alipotaka kubinafsisha shirika la ndege , kanisa lilimuita mbele ya baraza la maaskofu na kumkarisha .
Hii kauli ya "Kumkalisha kwenye kigoda" ina maana zaidi ya kawaida.
Ni kweli serikali...