Nimeota nimeingia katika Kanisa,wapo watu wengi mule ndani wanaabudu katika misa. Nikasimama pembeni, halafu akatokea mtu akasema,"We njoo hapa, familia yako iko huku.". Nikamfuata yule mtu mpaka katikati ya Kanisa, katikati ya waumini wengi, familia yangu walikuwepo pale standing in worship and...