kanumba

  1. Francis12

    TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

    Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo. Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha...
  2. Kamgomoli

    Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

    Kuna video imeniumiza na kunisikitisha kupitia Grobal TV Online ambapo mama Kanumba anaeleza kwa uchungu sana jinsi mdogo wake Kanumba Seth alivyopata ugonjwa wa ajabu uliopelekea kupalalaizi kuanzia kiunoni mpaka miguuni. Mama anaomba msaada wa gharama za matibabu ambazo anadaiwa pale...
  3. Pascal Mayalla

    Daktari wa Kanumba ni Imposter?

    Wana body, Naomba kutoa duku duku langu kuhusu huyu jamaa anayejiita Daktari wa Kanumba kama ni daktari kweli au he is just an imposter anaye pose kama daktari na luckly Kanumba akamuaminia na kumfanya ni daktari wake! Japo bado sijafanya search yoyote kuestablish authenticity ya udakitari...
Back
Top Bottom