kariakooo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

    Hellow Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje...
  2. Z

    Serikali inapaswa ianzishe Kariakooo nyingine maeneo ya Mbezi Louis

    Tatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi Mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli. Tumeona adha iliyo sababishwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…