Karne parah (Hebrew: קַרְנֵי פָרָה, also spelled Qarnei Farah and other variant English spellings) is a cantillation mark found only once in the entire Torah (Book of Numbers Numbers] 35:5), and once in the Book of Esther, immediately following the identically unique Yerach ben yomo.
The symbol of the Karne para is that of the Telisha ketana and gedola together. The melody, likewise, is that of these two more common cantillation sounds put together.
The Hebrew words קַרְנֵי פָרָ֟ה translate into English as cow's horns.
Last time nilisema Tarakea na Manyovu wanatumia Madaftari kutoa huduma za kuingia na kutoka nchini nikashauri wafanye marekebisho vituo hivi vifanye kazi kama vituo vingine kuleta hadhi Kwa wanaovuka mpaka.
Naomba kumkumbusha Dkt. Makakala kwamba bado Hali hii ipo vile vile pamoja na ushauri...
Ni kwa muda mrefu sasa tumekuwa katika aina na mfumo ule ule wa elimu na mrejesho katika matokeo yake umekuwa mdogo sana.je tunahitaji kubadili nini na tunahitaji aina gani ya mifumo ya elimu itakayotuletea mabadiliko ya kweli? Tupo katika karne nyingine kabisa na kizazi tofauti kabisa, je elimu...
Nasikitika kusema kuwa mimi nilikuwa mhathirika mkubwa wa Magharibi, yaain nilikuwa naweza kugombana na mtu au kutukana pale tu anapoigusa Marekani kiufupi nilikuwa shabiki kufa kufa wa Magharibi hasa linapokuja suala la mzozo wa Ukraine na Russia.
Ila kwa furaha sana baada ya kufuatilia fact...
Anaandika, Robert Heriel
Mastermind.
Ufikapo mwisho wa andiko hili utakuwa Umepata haya:
1. Utakuwa umejifunza akili, hulka na silika ya mwanadamu.
2. Utakuwa na uwezo wa kujitambua na kujifahamu.
3. Utakuwa na uwezo wa kuchangamana na watu na jamii Kwa ujumla (kusosholoizi)
4. Itakusaidia...
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo...
Kwa Ile mechi ya awali dakika za mwisho waarabu walionyesha kile watakachoenda kukifanya kule kwao..ni suala la muda tu,tunaenda kupata aibu.
Mwarabu anajua yanga watataka kupata goli la ugenini na hapo ndio watakapofungulia turbo huku wakichagizwa na vibe la mashabiki wao lukuki...
Yaani ukiwakuta wamevaa zile uniform za Kijani wanavyoonekana kama Spinach utadhani ni Watu innocent na wenye maono makubwa kwenye Maendeleo ya nchi. Subutuuuuu!!
Ni aibu unapita mikoani eti Kuna Watu wanachota maji kwenye madimbwi, juzi nilikua safarini huko, Kuna vijiji viko barabarani kabisa...
Amou Haji aliyetajwa na vyombo vya habari kuwa "mtu mchafu zaidi duniani" amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94, ikiwa ni miezi michache tu baada ya kunawa kwa mara ya kwanza katika miongo kadhaa.
Amou alikuwa amekataa kutumia sabuni na maji kwa zaidi ya nusu karne, akihofia ingemfanya...
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama...
Igweeee wana Jamii. Naipongeza sana Jamii forum kuwa sehem ya kila mtu wasilisha mawazo na fikra yake pasipo vunja sheria za nchi na kimataifa.
Mimi leo nimependa kuchambuwa ujasusi wa Nchi za Magharibi ambao kwa sasa ndio Habari ya mjini.
Uwenda unajuwa ama ujuwi ila Kuna jambo lakutisha sana...
Sifa kubwa ya kiongozi ni kujiamini.
Na hawa wa wili ni viongozi ambao mimi kwangu na amini ndo viongozi bora.
JPM: Huyu ni alikuwa kiongozi sijui ni seme ni wa aina gani hasa Ila sifa kubwa yake ni kujiamini.
JPM alikuwa anajiamini saana na wala hakuwa muoga kama viongozi wengine wa afrika...
Historia ya ulimwengu kuna nadharia za kiimani na za kisayansi ambazo zimetofautiana jinsi ya kuelezea kuumbwa kwa ulimwengu mzima na vilivyomo ndani ya ulimwengu huo.
Kwa mujibu wa sayansi ulimwengu ulitokea baada ya migandamizo na milipuko ya gesi mbalimbali na kuunda ulimwengu ambao...
Wanaume haswa vijana wa kiume tuwe na mjadala mkubwa ni wapi jamii inapokosea kuandaa mtoto wa kiume kuchukua ile nafasi yetu tuliyopewa na God ya "mwanaume utakuwa kichwa".
Kuna mambo personal nimeyaona na yanendelea kufanyika na yamekuwa kama kawaida kwenye jamii ambayo yanampa uanume...
Yalikuwa ni maamuzi ya wazimu kabisa. Tazama ndani ya muda mfupi tu Spars ilivyobadilika, Naamini kabisa kwa Man Utd mwaka huu Conte angeli challenge Title na Man City.
Habari za wakati huu enyi walimwengu wa Karne ya mwisho wa dunia, mliopo katika ardhi yenye baraka ya Tanzania, na hata msiokuwa Tanzania.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Awali ya yote nipende kukushukuru wewe unayesoma makala hii kwa kutenga muda wako ili uweze...
Sasaivi hakuna tena umuhimu wa ndoa kama hapo zamani kwasababu zifuatazo:
1. Sasa hivi wanawake wanataka haki sawa na wanaume yaani 50/50
2. Wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kusaka pesa za urithi au mirathi mume akifa.
3. Vipato vinazidiana sana
4. Watu wanaoa kwa show off tu
5. Mama...
Bilauri ya Mfalme Jehangir wa Mughal India. Inasadikika sumu ikiwekwa katika emerald ina react, hivyo Wafalme wa zamani walitumia vyombo vya emerald kama sehemu ya kujilinda. Vyombo hivyo vilitengenezwa Persia.
Habari, Tanzania kwa Mara ya kwanza ilishuhudia kupata Rais na Makamu wake wenye sifa ambazo kama zingeunganika vizuri basi katika ile miaka 5 Tanzania ingepata maendeleo ambayo ingechukua hata karne moja kuyapata tena .
Kifupi ni kwamba JPM alikuwa msimamizi mzuri wa pesa na Mama ni Mtafutaji...
KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI.
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.