karume

Abeid Amani Karume (4 August 1905 – 7 April 1972) was the first President of Zanzibar. He obtained this title as a result of a revolution which led to the deposing of His Majesty Sir Jamshid bin Abdullah, the last reigning Sultan of Zanzibar, in January 1964. Three months later, the United Republic of Tanzania was founded, and Karume became the first Vice President of the United Republic with Julius Nyerere of Tanganyika as president of the new country. He was the father of Zanzibar's former president, Amani Abeid Karume.

View More On Wikipedia.org
  1. Suley2019

    Fatma Karume akwaa kizingiti kingine, Jamhuri yakata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu

    PICHA: Fatma Karume Jamhuri imewasilisha nia ya kukata rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu uliotengua uamuzi wa kumfuta katika orodha ya mawakili, Fatma Karume. Nia hiyo ya kukata rufani imekwamisha maombi ya Fatma kupitia Wakili wake, Peter Kibatala, ya kutaka Msajili wa Mahakama Kuu atoe...
  2. B

    Fatma Karume: Samia Suluhu's destiny is to change Tanzania's constitution

    #EXCLUSIVE: " Samia Suluhu's destiny is to change Tanzania's constitution." Fatma Karume Former President of Tanganyika Law Society (TLS) Ms. Fatuma Karume exclusively speaks to Mwanzo TV's Leah Ngari on human rights violation in her country, why citizens have no faith in the current...
  3. Shujaa Mwendazake

    Fatuma Karume: Mwambieni Ndugai Kanuni za Bunge si Sheria za Nchi, hazituhusu sisi

    Swali kwa Job: Kwani Wanahabari ni Wabunge mpaka uwapeleke kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge? Ushauri wangu ni: Job soma kanuni ya 2 ya Kanuni za Bunge. Kanuni zenu zinatumika kuendesha Bunge na si NCHI. Hazituhusu sisi. Si SHERIA za Nchi. Bunge si Mahakama. Halina MAMLAKA la kumuhukumu mtu...
  4. Shujaa Mwendazake

    Fatuma Karume: Mwanasheria Mkuu anapanga hila za kuwavua uwakili Jebra Kambole na Edson Kilatu

    Ameandika Shangazi Fatma Karume kwenye ukurasa wake wa Twitter: "Kilangi kawapeleka Jebra Kambole na Edson Kilatu mbele ya Kamati ya Maadili ili na wao WAVULIWE UWAKILI na majina yao yafutwe kwenye ORODHA ya Mawakili. Kosa lao: Kutoa maoni yao Mtandaoni. Kilangi, AG kuwa Advocate no. 1 ni...
  5. Erythrocyte

    Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

    Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani . Taarifa hiyo inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa...
  6. Red Giant

    Hivi kinachofanya Maria Sarungi na Fatma Karume wawe wanaharakati namna ile ni nini?

    Kwanza kabisa napenda kazi ya hawa watu. Tungekuwa na watu kumi kama hawa nchi ingekuwa inaenda kwenye mtaari mnyoofu kabisa na kufuata sheria. Swali najiuliza nini kipo ndani yao kinawafanya wawe wanaharakati wajasiri namna ile? Je, ni elimu waliyo pata. Kuna elimu mtu unapata inakufanya...
  7. T

    Kwanini kumbukizi ni Hayati Sokoine, Nyerere na Karume tu?

    Ni swali limenijia kuhusu haya matukio ya kumbukizi ya viongozi wetu waliotangulia mbele za haki. Ni vigezo gani hutumika kufanya kiongozi afanyiwe kumbukizi annually? Je, ni Sokoine, Nerere na Karume pekee wenye hivyo vigezo? Na iwapo viongozi wengi watakidhi hivyo vigezo si tutakuwa na...
  8. Kasomi

    Fahamu A-Z kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulitokea tarehe 26 Aprili 1964 ukawa mwanzo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hadi tarehe ile kulikuwa na mataifa mawili huru ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo yaliingia mkataba wa muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzishwa dola la...
Back
Top Bottom