kauli za makonda

  1. Mindyou

    Pre GE2025 Makonda: Sioni mtu wala kabila litakalonizuia 2025 kuzunguka katika taifa hili kutafuta kura za Rais Samia na Mwinyi

    Wakuu, Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM? Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata. Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya...
  2. Mkwawe

    Watanzania wanampa kiburi sana Makonda, nikiwa mkubwa nataka niwe kama yeye

    Kama anachofanya Makonda ni udhalilishaji watanzania wameridhika na huo udhalilishaji. Kama anachofanya Makonda ni ubabe huo ubabe ndiyo watanzania wanautaka sasa. Kama anachofanya Makonda ni misifa watanzania wanataka makonda aendelee na misifa yake. Kama anachofanya Makonda ni uuaji (kwa...
  3. GoldDhahabu

    Makonda anafanya kazi nzuri, ila awe makini na kinywa chake

    Madudu anayoyaibua yanawaumbua watangulizi wake na hata "maRC"wa mikoa mingine. Kwa sasa anajulikana nchi nzima, lakini kuna watu hawayajui hata majina ya wakuu wa mikoa yao. Mbali na kuwa anayoyafanya yana maslahi kwa umma, si wote, hasa watawala wenzake, watakaomfurahia. Naamini naye ana...
  4. Nyendo

    Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) walaani matamshi ya Paul Makonda

    Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania(TALGWU), kimesema kinatambua kazi kubwa anayofanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda katika masuala mbalimbali ikiwemo kusimamia miradi ya maendeleo lakini hakijapendezwa na kitendo chake cha kumdhalilisha Mtumishi wa Umma Wilayani Longido na...
Back
Top Bottom