Bongo watu wanapenda kuamini vitu vya ajabu Sana, huenda ni meneja au mfanyakazi aliyekua na shift night alimwingiza kwa lengo la kupunguza upwiru. lakutokea likatokea akaona kuliko kibarua kiote majani amwangushie huyo mtoto wa watu jumba bovu.
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameonyesha sifa kadhaa ambazo zinaonekana kufanana na sifa za rais bora:
Uadilifu: Rais Samia ameonekana kujitahidi kufuata maadili ya uongozi na kutoa kipaumbele kwa maslahi ya umma.
Uongozi bora: Tangu kushika madaraka, Rais Samia ameonyesha uongozi...
Yamkini tukiweza kuruhusu na kufungua sehemu nyingi za kiuchumi kufanya kazi usiku na mchana tutaongeza wigo kubwa la kuwapatia nafasi wasiokuwa na ajira kupata ajira.
Tukiachilia hivi karibuni baadhi ya mabasi yaliyoachiwa kufanya kazi ya usafirishaji wa abiria usiku na baadhi ya makampuni...
Mwanadamu ukimpa uhuru uliyopitiliza matokeo yake ndiyo haya.imagine mtoto wako katiwa mimba Ili baadaye akijifungua akuachie kijukuu na kurudi shuleni!!
Kwa sababu tumekubariana tuwape uhuru wa kubeba mimba na kurudi mashuleni ,naomba pia tuwape uhuru wa kutumia Kinga dhabiti wasibebe mimba...
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan. Ni mwenye kusikia kama Jina lake linavyosadifu, amesikia kero za wananchi wake na amezitatua kwa kiwango kikubwa na bado anaendelelea amehakikisha kero za Elimu, afya na Lishe, maji, miundo mbinu, biashara na viwanda, Utunzajiwa...
#HABARI: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa Watanzania wote kwa ujumla wao wanajivunia uwezo mkubwa wa kiuongozi, anaouonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka 3 ya uongozi wake...
Leo nikiwa town katika mishemishe nakuta chuma ya serikali imepaki. Kucheki namba ni STN.
Nikajiuliza si ni juzi tu hapa STM ilianza? Ndio imejaa kwa kasi hivyo!
Serikali yetu inamiliki magari mengi na sasa usajili umefikia “STN” hii ni kasi zaidi ya 5G
Mimi ni kajana niliye fanikiwa kusoma na kumaliza Bachelor ya Business Administration.
Tangu kumaliza chuo (2022) hadi leo, nimebahatika kufanya kazi katika kampuni 4 zinazojihusisha na usafirishaji wa mizigo kutoka Nje.
Kutokana na changamoto za kazi, ndo zilinifanya kuhama hama na hatimaye...
Meli kubwa ya kwanza MV Innovation Way kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu iliyobeba mitambo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).
kutoka Hoima, Uganda hadi mkoani Tanga.
imewasili katika bandari ya Tanga.
Meli hiyo imebeba mitambo kwa ajili ya...
Huyu mama ambae ni Rais wetu alianza vizuri sana lakini tunapokuja kwenye swala la kutofautiana kimtazamo amekua akitoa amri za watu kukamatwa kuteswa na kubambikizwa kesi za uhaini au uhujumu uchumi....hili jambo lina fedhehesha sana hasa pale ambapo unashindwa kupokea ushauri na mawazo...
Mambo mazuri yanataka muda, nasi tumeamua kwa kauli moja twende pamoja kwa umoja hadi 2035 kutekeleza miradi ya kimkakati;
1. Bomba la mafuta toka Hoima -Tanga,
2. Upanuzi wa Bandari zote nchini.
3. Bwawa la Mwl. Nyerere.
4. Reli ya SGR (Dar-Mwanza/Kigoma).
5. Upanuzi wa Uwanja wa KIA, JNIA...
Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika.
Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...
Nmeshangazwa na huu utaratibu wa kushtukiza kutoka utumishi, ambapo wanatoa majina ya usaili siku Moja kabla ya usajiri.
Yaani majina yanatangazwa tarehe 13, tarehe 14 usaili.
Hata kama mnataka kupunguza watu kwa namna hii sio sawa. Wekeni angalau siku tano kabla. watu wanatoka mbali ndani ya...
Tunafika Crimea, mzuka mzuka wanangu.
Ukrainian social media channels were alight with celebratory messages as the nation revelled in the first major successes of the much-anticipated counter offensives.
Ukrainian forces recaptured at least two villages from Russian occupation on Sunday...
Vijana wazalendo wanaendelea kurejesha ardhi ya mababu zao, vilianzia Crimea vitaishia Crimea...
3:57pm: Ukraine announces retaking village in southeast
Kyiv announced on Sunday that Ukrainian forces have retaken a village in the war-torn country's south, the first reported gain of its...
Niende moja kwa moja!
Picha za mwazo Kutoka Boeing ndege yetu ya mizigo ilikuwa na chapa ya Lake Tanganyika (Hapakazi Tu) lakini wakati wa makabidhiano inasomeka Lake Tanganyika (Kazi Iendelee).
Je, tatizo ni nini?
Yamekuwa na nadhani yataendelea kuwa maoni yangu kwamba kubadili mitaala ya nchi ni moja ya mambo makubwa kabisa yanayoweza kuacha alama kwenye vizazi vyetu, na hivyo wakati Serikali inapofanya juhudi za kubadili mitaala ya shule zetu, ni vyema jamii kwa ujumla wake kujitolea kuchangia badala ya...
Katika pita pita yangu humu JF nimekutana na huu mjadala kati ya ninaoamini ni watetezi wakubwa wa kazi iendelee na wana CCM kindaki ndaki.
A: Kazi iendelee, Shaka apewe Urais tu!
B: Bado hajakomaa vizuri...
C: Atakomaa huko huko!
Nakiri sikushangaa hata kidogo. Huwezi ukapanda mchicha...
Watanzania salamu, ndipo nashika karamu, Naleta jambo muhimu, Fungua zenu fahamu, Umasikini Ni sumu, unaoleta magumu, kujituma ni silaha,na kazi iendelee.
Ukilala ni hasara, utaitwa ni fukara, omba omba inakera, kwa wengi unajichora, fanya kazi barabara, kipato kiwe imara, kujituma ni silaha...
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.