KCB Group Limited, also known as the KCB Group, is a financial services holding company based in the African Great Lakes region. The Group's headquarters are in Nairobi, Kenya, with its subsidiaries being KCB Bank Kenya Limited, KCB Bank Burundi Limited, KCB Bank Rwanda Limited, KCB Bank South Sudan Limited, KCB Bank Tanzania Limited, and KCB Bank Uganda Limited.
Tushindwe wenyewe....yaani Wakenya tuna subira mithili ya chui, tunanyatia nyatia na kusogelea na kupiga mahesabu ya mbali, ila pale tutachomoka huwa hatukosei maana lazima meno yang'ate kwenye shingo.
DRC na ukanda wote wa EAC upo kwapani tayari, hawa Wahabeshi ndio walikua mfupa uliomshinda...
TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.