kesi ya mbowe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa CPL. Abdallah ni Upi?

    Umesikika ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah (shahidi #3) kutokea Police Forensic Bureau, Dar es Salaam. Shahidi anadai alipokea bastola moja, risasi tatu na barua yenye maelekezo kutokea office ya DCI. Kwenye taarifa yake rasmi shahidi anasema: Yaani ameshiriki kwenye kukagua na kutambua...
  2. chiembe

    Mambo usiyoyajua kuhusu kesi ya Mbowe: Jaji Luvanda, Siyani, Tiganga, wamesoma darasa moja UDSM, pia wamesoma pamoja na Deputy DPP!

    Je wajua? Jaji Luvanda, aliyekataliwa na Mbowe, Jaji Siyani aliyejitoa, na Jaji Tiganga, anayeendesha shauri sasa, wote walianza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2000, na kumaliza 2004. Na pia walisoma na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Nchi ya Tanzania JP Tunajua wajua lakini tutaendelea kukujuza
  3. Roving Journalist

    Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

    Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine. Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021 UPDATES Mpaka sasa...
  4. B

    Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

    Shahidi #2 wa upande wa mashtaka Justine Kaaya katika ushahidi wake kaeleza ya kwake: 1. Alivyokutana na Mh. Mbowe 2. Alivyompa Mbowe taarifa za washirika wa Sabaya. 3. Alivyosafiri Longido, Arusha, Moshi. 4. Malipo aliyopata kutoka kwa Mh. Mbowe. Shahidi anathibitisha kuwa, hakuwahi kusikia...
  5. Suley2019

    Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

    Salaam Wakuu, Ile Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo Ushahidi unaendelea kutolewa. Fuatilia uzi huu ili kujua kinachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 28/10/2021 ==== Mawakili upande wa...
  6. Erythrocyte

    Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya. Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi...
  7. B

    Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri

    Ilionekana hivyo katika hukumu ya Jaji Siyani. Imeonekana hivyo TBC Habari jana 20:00 ambapo maelezo ya Kingai yalisomwa kama vile ni ungamo alilofanya Mh. Mbowe mahakamani Jana. Magazeti nayo ni kama lilivyo hapo. Kingai huyu huyu? 1. Aliyekuja na watuhumiwa kutokea Moshi - Msata -...
  8. B

    Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

    Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais: Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele. Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko. Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi. Habari za...
  9. Chagu wa Malunde

    CHADEMA kumwomba Rais Samia aingilie kati kesi ya Mbowe ni kutaka Katiba ya JMT ivunjwe. Nchi hii ina mihimili mitatu iliyo na mamlaka kamili

    Huku sasa kwa wanaCHADEMA ni kupaniki na hii ni baada ya Caution statement za mmoja wa watuhumiwa wenzake na Mbowe kupokelewa kama ushahidi mahakamani. Kwa nini Mnyika J, anasahau na kutoa kauli za ajabu ambazo hazina mashiko? Kesi ipo mahakamani na rais hana mamlaka ya kuingilia muhimili wa...
  10. K

    Mawakili wanaosimamia kesi ya Mbowe wana uwezo mdogo

    Wakuu, Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe Mahakamani na kesi iishe mapema tu. Hawa Mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii. Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda...
  11. B

    Kesi ya Mbowe: Haki Haikuonekana Kutendeka

    Haki haijawahi kujificha. Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa: 1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha, 2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy, 3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4...
  12. Roving Journalist

    Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

    Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu. Uamuzi huo ambao utatolewa na Jaji Mustapha Siyani (Jaji Kiongozi...
  13. MUSIGAJI

    Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

    Wanajukwaa poleni kwa kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa Taifa letu,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Bila shaka baada ya Hukumu ya Lengai Ole Sabaya kuhairishwa tarehe 1/10/2021 ilipangwa kwamba itatolewa leo. Hivyo tuelekeze masikio yetu katika viunga vya mahakama. ======= Aliyekuwa...
  14. lee Vladimir cleef

    Madhara ya kesi ya Mbowe na tofauti na kesi ya Sabaya

    Ukweli kesi ya Mbowe Kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi hii ni ya kutunga na ukweli pia kesi ya Sabaya kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi yake ni ya ukweli. CCM wote wanajua kabisa kesi ya Mbowe ni ya kumkomoa na CCM wote wanajua kabisa Kesi ya Sabaya ni kweli alifanya makosa...
  15. Ngengemkenilomolomo

    Je, hukumu ya Sabaya ina mtazamo gani juu ya kesi ya Mbowe?

    Wakuu kuhusu kilichotokea huko kwa kwa Sabaya ni kama mlivosikia, swali ni je hukumu hiyo imetolewa kama kuwafumba macho Watanzania ili itakapotolewa (mvua) hukumu kwa Mbowe ionekane kwamba imetenda haki? Kwa hukumu hiyo ya Sabaya inaleta taswira gani kwa hukumu ijayo ya Mbowe?
  16. monde arabe

    Malalamiko yangu kwa watu maarufu dhidi ya kesi ya Mbowe

    Habar za muda huu ndugu wanajukwaa,zimepita siku kadhaa sasa tangu Mh.Freeman Aikaeli Mbowe alipotekwa na kuwekewa madawa ya kulevya pamoja na bastola kisha kupelekwa kwenye vyumba tofauti tofauti vya mateso na hatimaye kupelekwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Kwa wale ambao hawafahamu ukweli...
  17. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Taifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni wa kuheshimu na kukubali ukosoaji

    Taifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni wa kuheshimu na kukubali ukosoaji wa aina yoyote ile, na si usengenyaji. Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere kupitia...
  18. B

    Kama kupata Maelezo ya Adamoo, sheria ilikiukwa, Yatatupwa

    Shauri dogo ndani ya shauri lilopo sasa hivi linatokana na utata kuwa je mshitakiwa wa pili Adamoo alitoa maelezo yake kwa mujibu wa sheria? Kuna tashwishi kuhusiana na maelezo ya mshitakiwa huyu kuwa aliteswa au hakuteswa kwenye kupelekea kuwapo kwa maelezo yake. Je kulikuwa na shinikizo...
  19. Lituye

    Kumbe Rais Samia alisema ukweli kuhusu kesi ya Mbowe. Watanzania tutembee kifua mbele ikibidi vua hata shati tunaenda vizuri

    Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa. Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na...
  20. Nyankurungu2020

    Kesi ya Mbowe na wenzake imetufumbua macho, haki za Watanzania zipo mikononi mwa Jeshi la polisi

    Sheria za Tanzania zipo wazi kabisa kuwa mtuhumiwa anatakiwa kukiri kwa hiari ili hiyo kiri iweze kutumika mahakamani. Hii ni kwa mujibu wa kifungu cha 27 cha sheria ya ushahidi ya Tanzania. Lakini kifungu cha 29 kinawapa kiburi polisi kupiga na kutesa watu maana kinasema kama mtu ataubaki...
Back
Top Bottom