Mambo vipi wakali wa hizi kazi za SEO.
Rejea title hapo juu nimekuwa nikitengeneza makala nyingi kwenye niche mbali mbali lakini imekuwa kipengele kurank #1 position pale google Yaani narank position ya 15 huko.
Wadau hivi ni niche zipi ambazo hazina competition kubwa kwamba hata sisi blogger...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.