kherson

Kherson (Ukrainian: Херсо́н, pronounced [xerˈsɔn] (listen); Russian: [xʲɪrˈson]) is the administrative centre of Kherson Oblast in the south of Ukraine, and it is a major economic centre. Kherson is an important port on the Black Sea and on the Dnipro River, and the home of a major ship-building industry. It is the centre of Kherson Raion and hosts the administration of Kherson urban hromada, one of the hromadas of Ukraine.Since March 2022, the city has been occupied by Russian forces during its invasion of the country as part of the Kherson military–civilian administration. As of 2021, it had a population of 283,649 (2021 est.) The great majority, according the last (2001) census, were ethnically Ukrainian. The Ukrainian authorities estimate that since the invasion 45% of inhabitants have fled the city.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Ukraine wafanya mashambulizi makali kwa kutumia HIMARS, mvua ya mizinga Kherson

    Mrusi hana hamu na HIMARS, zinamtesa sana hadi leo, zimewapa jeuri Ukraine kiasi cha wao kuanzisha mashambulizi wenyewe tofauti na awali walivyokua wanapambana kuhimili mashambulizi..... Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson, a...
  2. Pearce

    Wanajeshi wa Urusi waanza kimbia Kherson

    Russia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa. Huku kikosi cha Anga ambacho kingeweza toa sapoti kipindi cha kuzuia uvamizi kuungua kwa moto wa Sigara ulioteketeza ndege zaidi...
  3. Gama

    Ukraine yaimarisha mashambulizi katika jimbo la Kherson linalokaliwa na Urusi

    Majeshi ya Ukraine yamefanikiwa kufurusha makombora na kuharibu daraja muhimu linalotumiwa na Urusi kupeleka bidhaa muhimu kwenye jimbo waliloteka la Kherson. Lengo la mashambulizi hayo ni kuwanyima huduma wapiganaji wa urusi walioko katika jimbo hilo. Ukraine steps up attacks on...
  4. Sexer

    Wanajeshi wa Ukraine waelekea kukomboa mji wa Kherson unaokaliwa na Urusi

    Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema majeshi yake yanasonga mbele ‘’hatua kwa hatua’’ katika eneo la kusini linalokaliwa la Kherson. Mji wa Kherson ulitekwa na Urusi mapema katika vita na unakaa kwenye eneo la kimkakati magharibi mwa mto Dnipro. Siku ya Jumamosi, maafisa wa ulinzi wa...
Back
Top Bottom