kiatu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Yanga shangilieni na muungane na watanzania kufurahia kiatu cha dhahabu kuchukuliwa na mzawa!

    Nawahimiza yanga waungane na watanzania wote kushangilia kiatu cha dhahabu kuchukuliwa na mzawa/mtanzania. Wakiati umefika kwa wazawa kupata pia mishahara minono kama ya wachezaji wa nje na kuzidi ikiwezekana!!
  2. makaveli10

    Kiatu cha kiume toka uturuki kinauzwa

    Wazee nauza kiatu,kimeletwa kama zawadi toka uturuki lakini hakinitoshi. Saizi ya kiatu ni UK 8, Uero 42kama kinavyoonekana pichani. Bei ni pesa taslimu za kitanzani 70 elfu. kipo kigamboni 0659445718
  3. K

    SoC01 Kwanini Mbinu za trafiki kupokea pesa ya kung'arisha kiatu ziwe kivutio kwa wenye vyombo vya Moto?

    UTANGULIZI Askari wa Usalama barabarani nikiungo Muhimu Sana kati ya wamiliki wa vyombo vya usafiri na sheria zilizotungwa na bunge katika kudhibiti makosa yote ya usalama barabarani na sambamba na kuakikisha vyombe vinavyotembea ni tu vilivyo salama. JE, NI KWELI ASKARI HAWA WANASIMAMIA...
  4. Jackwillpower

    Mgala muueni haki yake mpeni, na tusisahau baniani mbaya kiatu chake dawa

    Huu ndio muonekano wa Hospitali ya Uhuru iliyopo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma , Ujenzi wa hospitali ya Uhuru umegharimu kiasi cha Shilingi Billioni 3.9 (Milioni 3900). Ujenzi wa hospital ya uhuru ni agizo la aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alilolitoa kwa kusema fedha...
  5. Mad Max

    Hiki kiatu 95,000/= napigwa au?

    Wakuu habari. Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/= Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
  6. Mangungo II

    Unavaa size gani ya kiatu?

    Naam Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa . Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu Viatu vya mguu wangu gharama sana Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k Na vya mtumba vya...
Back
Top Bottom