Kibamba is an administrative ward in the Ubungo district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 17,998.
Habari wakuu.
Nyumba zipo nne ndani ya kiwanja kimoja Mtaa wa Undogi Tank la maji.
Nyumba mbili zimepauliwa
Nyumba mbili hazijapauliwa.
Sqm 870
Hati ya wizarani.
Location Kibamba njia panda ya shule Mtaa wa Undogi Tanki la maji.
Km 3 kutoka Morogoro Road hadi kwenye nyumba...
https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE
Salamu Wana jukwaa...
Nimekuwa nikisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa vidonda vya tumbo... Kwa hakika vinanitesa sana.
Kuna raia mmoja ameniambia niende kwa WAKOREA, Wana dawa za uhakika japo ni ghali.
Naombeni ushauri
"Mtia nia wa mtaa wa Mji Mpya uliyopo kata ya Kwembe Jimbo la Kibamba amekatwa kwa sababu tu aliandika kazi ni mjasiriamali, hivi kwani jamani ujasiriamali siyo kazi? Kwenye mtaa huu ameteuliwa mjumbe 1 tu ambae aliandika kazi ni dereva." - Rahma Mwita kupitia ukurasa wake wa X
Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo
Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE
-Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet
Nyumba ipo 3Kms kutoka morogoro rd na ipo kwenye barabara ya mtaa (Hondogo)
-Plot size Sqm 1044...
Kwakuwa wanatambua toka zoezi hili limeanza kulikuwa na dalili mbaya na nia ovu ya kuhujumu uchaguzi huu na kwasababu watakwenda kubandika takwimu hizi leo Oktoba 21, Viongozi CHADEMA Jimbo la Kibamba wakiwakilishwa na Ernest Mgawe, Mwenyekiti wa jimbo hilo, watoa takwimu za uandikishaji...
Tundu Lissu awafunda watia nia wa nafasi ya Uongozi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa akiwa Jimboni Kibamba katika Semina iliyofanyika Kata ya Kawe na kuwataka kutofanya makosa ambayo yatasababisha kupoteza kwenye Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Lissu amewataka Watia nia...
• Ipo Kibamba Mwisho
• Ukubwa wa eneo ni ekari 4
• Ina hati miliki
• Imesajiliwa
• Inauzwa TZS bilioni 1.2
.
✓ darasa 1-7
✓ inatoa huduma
✓ ni ya kutwa
✓ ina maabara na jengo la ofisi
✓ ina kiwanja cha michezo
✓ eneo kubwa limebaki linaweza kutumika kwa maendeleo mengine
.
• In Real...
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumba
nyumba inauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanja
viwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
"Ipi kauli ya Serikali ya kutokamilika kwa miradi ya Maji katika Jimbo la Kibamba?" - Mhe. Issa Jumanne Mtemvu, Mbunge wa Jimbo la Kibamba
"Serikali imekamilisha ujenzi wa miradi mitatu ya usambazaji wa maji kutokea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hadi Bagamoyo (2B2F), Mshikamano na Kitopeni...
Wakazi wa Kibamba CCM, kuhusu "Barabara ya Police" imekuwa changamoto, yaani gari haziwezi kupanda kabisa tunaambiwa Mkandarasi ameshasaini Mkataba lakini hatuoni kinachoendele na mvua ikinyesha hali ndio inakuwa mbaya zaidi.
Tumekuwa tunaripoti lakini wanachofanya ni kuleta michanga, mvua...
1. Ukiona mtu amepewa airtime na TBC, ujue katumwa na CCM/serikali. Leo namuona anaongea TBC eti miswada isiondolewe bungeni, maana ikiodolewa haitarudi tena.
2. Kwa hiyo anamaanisha kuwa twende kwenye uchaguzi na sheria mbovu yatokee yale yale ya 2020 chini ya magufuli! Huyu ana akili kweli...
Wakati akiwa anahitimisha kutoa neno leo katika yake katika mkutano maalum wa vyama vya siasa leo tarehe 13/9/2023 ambapo ni siku ya tatu, Bwana Deus Kibamba alisema;
"Mh. Mwenyekiti naomba nishukuru sana wazee wetu wastaafu, mmeona jinsi ambavyo ukishastaafu unakuwa very sober, unatoa mawazo...
Licha ya kutumia gharama kubwa za kuvuta maji majumbani mwetu, WAKAZI WA MALAMBA MAWILI (zone 10) wamekuwa wakiishi kwenye mateso makubwa sana ya maji. Huduma hiyo haipatikani kabisa, wakati mwingine zaidi ya mwezi maji Huwa hayatoki. Unapowaailiana na injia wa maji na watendaji wamekuwa na...
Hali ni mbaya sana kwa barabara ya Kibamba kwenda Hondogo kata ya Kibamba wilaya ya Ubungo. Hatuoni viongozi wakichukua hatua kurekebisha, si TARURA, si diwani, mbunge wa kuchaguliwa wala mbunge wa viti maalum wamefanya hata ziara kuangalia au hata kuagiza magreda kuja kutengeneza barabara...
Nimesoma moja ya post humu kwamba kwa mujibu wa CAG, Tanroads walikuwa na bakaa kwenye bajeti yao. Nimesikitika sana kwa kweli. Hali ilivyo mbaya sana tena sana kwenye jimbo la kibamba kwa barabara zilizopo chini ya Tanroads, alafu inapatikana hela ya kurudi serikalini? Hii si ni dharau kweli...
Kwa wenyeji na wazoefu wa maeneo ya Kibamba nataka kuhamia huko. Naomba mnisaidie kufahamu ni Kibamba ipi nzuri kwa mtu anaeishi maisha ya kibachela na rahisi kwenda na kurudi katikati ya jiji.
Pia namna gani naweza pata chumba au nyumba ya kupanga na bei zake zipoje, kwa nyumba standard iliyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.