The Kibiti lampeye (Lacustricola lacustris) is a species of fish in the family Poeciliidae. It is endemic to Tanzania. Its natural habitats are rivers and intermittent rivers.
Position: Records Management Assistant II
Government Job Opportunities Kibiti District Council 2022, Ajira Mpya Kibiti 2022, Nafasi Za Kazi Serikalini 2022
Kibiti District is a new district in the Coast Region established in 2015 with postcode number 61800. Its areas were set aside by Rufiji...
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu shule tajwa hapo juu. Naomba kujua ipo umbali gani toka Kibiti mjini na mambo wawili matatu kuhusu shule hiyo. Mtu atalajie nini na ajiandae na nini. Kijana wangu amepangwa kufundisha hapo. Shukran sana.
Paka kiwepo pahala,panya hawana pirika,
Pale kakamata dola, panya wanadhoofika.
Mashimoni wanalala, kero tunapumzika.
Tangu paka kuondoka,panya nyumba watawala.
Paka walikuwa jela,kifungo walifungika,
Wakawa si wa kitala,midomo walifungika.
Kuondoka wa kuwala,jikoni ni patashika,
Tangu paka...
Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani
Luteni Kanali Sawala anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Rais Magufuli leo amesikiliza kero za Wananchi katika Wilaya hiyo akiwa njiani kutoka Mtwara ambapo...
Rais Magufuli leo akiwa njiani kutoka msibani, amesimama mara kadhaa kuwasalimu wananchi na kuwasikiliza. Ameshangazwa na watu walio chini yake kushindwa kujenga choo cha soko ilihali mapato ya halmashauri yao ni zaidi ya bilioni 1.8
Rais Magufuli ametoa agizo la choo husika kukamilika ndani ya...
Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza...
Nimeinasa kwenye Mitandao ya Kijamii ya usembassytz kuhusu Kaimu balozi wa Marekani kwenda Kumtembelea na kumtakia heri ya Sikukuu Mke wa Muandishi wa Habari za Uchunguzi Azory Gwanda ambaye Alitoweka miaka kadhaa hadi sasa kwa kuchukuliwa nyumbani kwake usiku na Watu wasiojulikana (Siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.